Imani ya watu kwa chama huanza na mwenyekiti na ukiisema ccm mwenyekiti wao huwa anakaa not more than 10yrs. Kingine ni kuwa kwa siasa zetu za Africa kuwa tu mtu makini haitoshi, issue ya kufahamika (popularity) ni muhimu sana
Sawa sina access na kura na nyie wenye nayo ni beneficiaries kwa mbowe kuendelea kuwa chair na mko mfukoni mwake na kwamba yeyote anayepinga ni lumumba. This time huo upuuzi hautafanikiwa, rest assured nyie wote wenye access kuwa this time mwenyekiti wa cdm ni Tundu Lissu
Sasa hapa hoja yako ni nini? Km we ni paid troll wa mbowe basi mbowe hana tofauti na chakubanga based on types of trolls they recruit, low iq bots. By the way chakubanga aweza pia kuwa mwenyekiti wa cdm km ambapo lowassa amekuwa mgombea uraisi wa cdm baadaya kukatwa kule na chakubanga.
Mi naongea maslahi ya chama kikuu cha upinzani Tz na nafikiri mbowe anaelewa hilo na km haelewi this time tutamwelewesha kuwa Tz hatuna utamaduni wa kumtegemea binadamu moja na kwamba km ni yeye pekee ndo anaweza kuwa mwenyekiti na bila yeye cdm itakufa basi ife yeye akiwa hai na Tundu Lissu
Acha ushamba, unaposema haiwasaidii we na nani? Kuondolewa ubunge kuna husiana vp na Lissu kuwa mwenyekiti cdm km siyo akili ya chato? Iko hv kwa Tz hiyo biashara ya kumtegemea binadamu moja haipo na haitakuwepo unless mnataka cdm iwe sawa na the likes of tlp.
Hv mko serious mnamtaka mbowe? Yaani 15 years haitoshi siyo? Iko hv ikiwa Tundu hatakuwa Mwenyekiti wa cdm this time propaganda za ccm kuwa cdm ni ya wachaga itakuwa confirmed
#Mbowe Tano Tena#
Mkuu kwa akili km hz za kwako cdm haiwezi kwenda mbele. Ni hv acheni upuuzi, mbowe ameshafanya yake inatosha. Mwenyekiti na mgomnea uraisi wa Tz ajaye ni Tundu Lissu period.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.