Recent content by Eideed

  1. E

    SUMATRA mkoa wa Mara yashamiri kwa rushwa

    Ni jambo la kusikitisha kuona Kuna Idara ya Serikali kama SUMATRA Mkoa wa Mara ikilazimsha kila gari hata Private kulipa faini ya Sh laki mbili na nusu ama kutoa rushwa ya shillingi laki moja. Naomba Waziri wa Uchukuzi afuatilie hili tatizo ambalo limeendelea kufanyika wilayani Tarime. Hizi ni...
  2. E

    Kenya yafunga mipaka yake na Tanzania na Somalia. Zuio la kutotoka ndani laongezwa kwa siku 21

    Rais Magufuli anapaswa kufunga huu mpaka hata kwa hayo magari Sent using Jamii Forums mobile app
  3. E

    Tanzania yatangaza visa vipya vinne vya Corona nchini Aprili 6, 2020. Visa vyafika 24

    Trust None, In an open letter to Trump last last month, Ayyadurai claimed that there is "no need to shutdown our entire country. There is no need to quarantine all of our citizens." Instead, Ayyadurai called on Trump to categorize citizens into four groups: * those who test positive for...
  4. E

    Naangalia TBC muda huu anasifiwa Magufuli tu

    Ulitaka baba yako asifiwe ? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. E

    Kwanini wapinzani hawaendi Mahakamani kupinga matokeo ya chaguzi ndogo?

    Justice delayed is justice denied. "
  6. E

    Kwanini wapinzani hawaendi Mahakamani kupinga matokeo ya chaguzi ndogo?

    Baada la wimbi la ushindi wa katika hizi chaguzi ndogo imebaki kwa vyama vya Upinzani kulalamikia matokeo. Kama nijuavyo mahakama zetu zipo huru na uwezo wa kutengua matokeo kama kuna kasoro katika utaratibu wote wa uchaguzi.
  7. E

    Kauli hii ya Rais ndiyo matokeo ya chaguzi hizi za hovyo

    Mkuu naona baada ya kuitwa na kuhojiwa huko bungeni umegeuka 90 Degree
  8. E

    Kauli hii ya Rais ndiyo matokeo ya chaguzi hizi za hovyo

    gemmanuel265, Msilaumu Rais Magufuli hiyo ndio sera mpya za CCM.
  9. E

    Nchi yangu inaniandaa kuwa muasi

    Nenda Somalia ama Libya tuachie Tanzania yetu salama
Back
Top Bottom