Tanzania yatangaza visa vipya vinne vya Corona nchini Aprili 6, 2020. Visa vyafika 24

Trust None

JF-Expert Member
Feb 12, 2018
1,260
4,415
Serikali kupitia waziri wa Afya, Ummy Mwalimu imetangaza ongezeko la wagonjwa wanne wa Virusi vya Korona.

Waziri Ummy Mwalimu amesema... (NUKUU)

Wizara inathibitisha kuwepo kwa kesi mpya nne za maambukizi ya corona zilizopatikana DSM, Mwanza na Zanzibar na kufanya jumla ya kesi 24 zilizoripotiwa tangu kuanza kwa ugonjwa huu TZ, wagonjwa hawa ni pamoja na wawili ambao wametolewa taarifa na Waziri wa Afya Zanzibar.

Wagonjwa wawili wapya wa corona Tanzania Bara ni Mwanaume(41) Raia wa Tanzania, mkazi wa Mwanza aliyeingia Tanzania kutoka Dubai kupitia uwanja wa ndege wa JNIA na kuelekea Mwanza na mwingine ni Mwanaume (35) Raia wa Tanzania, mkazi wa DSM, mfanyabiashara, wote wapo chini ya uangalizi wa watoa huduma.


A7001D01-2243-409E-AAB6-97ED8DF694FB.jpeg
 
#BreakingNews

WAGONJWA WENGINE WANNE WA CORONA WAONGEZEKA TANZANIA

Wizara ya Afya imethibitisha ongezeko la wagonjwa wengine wanne wa corona kutoka Dar es Salaam, Mwanza na Zanzibar na kufanya idadi ya wagonjwa kufikia 24 tangu kuaza kwa ugonjwa huu hapa nchini.

Wagonjwa hawa ni pamoja na wagonjwa wawili waliotolewa taarifa na Wizara ya Afya Zanzibar.

#CoronaTanzania #WagonjwaWaCorona

Sent using Jamii Forums mobile app
Azam news
 
Mungu atunusuru kama issue imefika hadi Mwanza. Tuweni waangalifu ndugu zangu.
 
Trust None, In an open letter to Trump last last month, Ayyadurai claimed that there is "no need to shutdown our entire country. There is no need to quarantine all of our citizens."

Instead, Ayyadurai called on Trump to categorize citizens into four groups:

* those who test positive for COVID-19, who should be quarantined and given 400,000 IU of vitamin A palmitate per day for two days and 50,000 IU of vitamin D per day for two days;

* those who are hospitalized and in critical condition, who should receive the same treatments, as well as a 100-gram drip of vitamin C per day;

* those who are immuno-compromised. He thinks children in this group should receive the same levels of vitamin A palmitate and vitamin D as mentioned above, as well as 500 milligrams of vitamin C per day and three drops per drink of iodine/iodide once per day. Adults who are immuno-compromised, in his view, should receive double the dose of vitamin C and iodine/iodide as children;

* and those not in the above three groups, with children receiving 1,000 IU of vitamin A palmitate per day and 2,000 IU of vitamin D per day, along with 250 milligrams of vitamin C and three drops per drink, once a day, of iodine/iodide. He advises that adults in this group consume 10,000 IU of vitamin A palmitate and 5,000 IU of vitamin D per day, along with 1,000 milligrams of vitamin C per day and six drops of iodine/iodide per day.

"Healthy individuals based on the above protocol should get back to work immediately, and follow their daily program as aforementioned," Ayyadurai wrote to Trump.

This is the type of advice that is going to drive mainstream doctors and public-health professors into conniptions. But judging by Ayyadurai's social-media following, it is gaining a foothold among libertarian-minded Americans who subscribe to his viewpoint.

In one YouTube interview, Ayyadurai even rejected the widespread view that HIV causes AIDS, also calling this "fake science".

In the same interview, Ayyadurai expressed admiration for molecular and cell biologist Peter Duesberg, who was ostracized by other scientists after publishing a paper in 1987 questioning whether HIV caused AIDS.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom