Recent content by EHK

  1. E

    Migahawa ya kigeni Dodoma

    najua mda umeshapita, ila next time jaribu kuna mgahawa upo top floor ya Best Western City Hotel pale otherwise nenda kwenye hotels, binafsi naiaminia/ recommend zaidi legendary hotel, Dodoma Hotel
  2. E

    Je, hili limekukuta kuachwa na bus kisha ukatumia bodaboda kulifukuza bus

    nadhani jamaa yeye alihitimisha uhuni tu, walioanza kufanya uhuni ni hao wa bus kwa kuondoka kabla ya mda
  3. E

    Mercedes Benz B-class

    Wakuu, kuna mtu ana live experience na hii gari? nataka kuibeba
  4. E

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Aise uliupata mkuu? Share tafadhari
  5. E

    Ubora wa subaru Exiga

    MWANDENDEULE mdau vipi, ulifanikiwa kununua hii? If so, tafadhari shea experience. Ipoje in terms of ulaji wa mafuta, performance barabarani na maintenance?
  6. E

    Scooter za kichina kama TVS Jupiter, changamoto zake nini?

    Sahihi, walau nmepata ABC. Japo ikatokea mtu bado ana wazo, ni sawa pia na kwa manufaa ya wengine pia.
  7. E

    Scooter za kichina kama TVS Jupiter, changamoto zake nini?

    Yes hyo picha ni kati ya model zao, ila zipo zinazofanana na Click pia
  8. E

    Scooter za kichina kama TVS Jupiter, changamoto zake nini?

    Habari, Naulizia kwa mwenye uzoefu wa hizi scooter za Kichina, TVS Jupiter (sina uhakika kama kuna models, brand nyngne) ambazo kwa mwonekano ni kama Honda Click ama Yahama. Changamoto yake hasa ni nini na durability yake ipoje, nipo interested kutafuta moja kwaajili ya town trips za kila siku...
  9. E

    Kero yangu kuhusu "Timetable" kwa mabasi ya mikoani

    kama unawafungia madereva na wengine wanaendelea kumwaga moto manake una deal na channel ambayo sio sahihi. Watu wa kudeal nao ni wanaomanage system, hawa madereva ni wahanga wa mwisho tu.. rules should be simple, gari imeviolate speed piga fines kama zilivyo, tajiri akikasirika yeye...
  10. E

    Kero yangu kuhusu "Timetable" kwa mabasi ya mikoani

    haya pia ni mawazo mazuri ila kwa uchumi wa nchi yetu, sio mpango wa kesho ama kesho kutwa ni wa miaka mingi mbele ie kuweka double road, kikubwa ni userious katika njia mbalimbali walizoziweka tayari
  11. E

    Kero yangu kuhusu "Timetable" kwa mabasi ya mikoani

    Sasa katika mazingira haya ndio wayafatilie hayo mabus, likibainika wayachukulie hatua kali badala ya kuweka initiatives za kutesa abiria
  12. E

    Kero yangu kuhusu "Timetable" kwa mabasi ya mikoani

    Habari wanajamii, Aisee nimekuja kuweka kero yangu hapa nikitumaini pengine mamlaka husika zitaona na kuangalia namna ya kutatua changamoto hii. Nianze kwa kupongeza Serikali na mamlaka husika namna zinajitahidi kupunguza madhara yatokanayo na ajali za barabarani hususani kwa mabus. Siku hizi...
  13. E

    Interview BoT imeshafanyika?

    Well noted comrade, shukran
Back
Top Bottom