Recent content by Egwugu

  1. Egwugu

    PostGE2025 Tanzania: Kikundi cha uasi kimeanzishwa tayari? Wanajiita Tanzania Freedom Fighters (TFF). Ni hatari sana

    Yes, ukijua huu wenzio wanajua ule. Kama wameonywa, wakashauriwa na kutafadharishwa na hakuna dalili ya wao kuwajibika acha wawajibishwe. Zile damu hakika hazitapoa na haya yoote chanzo ni huyo madharau
  2. Egwugu

    Tito Magoti: Samia amefahamishwa rasmi kuhusu shauri lililofunguliwa dhidi yake ICC

    Uko sahihi sana mkuu, na hilo ndo linakupa picha ya kugundua it was entirely a planned and controlled mission
  3. Egwugu

    Samia kila anachokifanya kinayeyuka kama barafu, jamii imemkataa

    Kujichagua alafu ukajiapisha bila ridhaa ya wenye nchi yao ni kazi bure, nchi si sawa na masikani ama genge ...kama hauwezi kuwaheshimu wenye nchi yao we nani?
  4. Egwugu

    Kama hatufuati Katiba ni kajitabu tu. Ina maana hakuna Raisi, hakuna Polisi wala hakuna nchi wala Serikali

    Ni mwehu tu anayeweza kuwaelewa hawa jamaa. Yaani hicho hicho kitabu ndo kilimpa yeye kula (2021-2025) alafu eti anakiita "kajitabu". Na hajuhi kupitia hicho kitabu yeye ni mtumwa wetu badala yake anageuka chatu mkubwa na kuanza kututisha na kutuua
  5. Egwugu

    Mnaongea na Samia mwambieni Watanzania wanajua yote

    Bado tu hawasikiki si kwa fimbo wala mijeredi ...hapa ni lazima tugawane mbao haki ya nani. Ama zao ama
  6. Egwugu

    Rais Samia: Tutatumia ndimi zetu kuwashawishi Benki ya dunia watupatie fedha tukamilishe yale tuliyoanza

    Hicho cheo kakipata wapi? Ilitokea lini watanganyika wakampa hicho cheo,alafu si ndo yeye aliwaita "who are you?" Na bado.
  7. Egwugu

    Serikali Zilizojaribu Ku-override Kanisa Katoliki… Zikaanguka Vibaya

    Kajichanganya wanataka kuleta usoni lakini kanisa ni chuo, kanisa ni shule tosha. Wanataka kujaribu kina cha maji kwa mguu ...acha wazame
  8. Egwugu

    Wakatoliki fake wa Samia na Mwigulu ni vita ya urais kati ya Nchimbi na Mwigulu 2030

    Ni bora nchi ikaongozwa na yule mkulima wa drs la saba kuliko hawa ng'ombe wa sasa ...nchi haina kiongozi
  9. Egwugu

    Samia unataka kuridhiana na nani wakati maelfu ya vijana wa Tanganyika wameuwa wasio na hatia yoyote?

    Ni bora anyamaze maana hayupo wala anayetaka kumsikia. Watanganyika walishamalizana na wewe na damu zao zitakuandama milele
  10. Egwugu

    Dkt. Paula Christina Roque atasababisha kilio na majuto Kwa waliofanya mauaji ya MO29

    Na wanyongwe kabisa, unatakaje kutawala raia uliowaua kwa mkono wako mwenyewe, labda kama unataka kutawala mafuvu ya vichwa vyao na maiti zao else they must face the consequncies
  11. Egwugu

    Leo nimekumbuka mtumishi wa Benk kuu, aliyekuwa anaambukiza ukimwi mabinti alafu anawanunulia Prado za rangi nyekundu.nchii hii inapitia mengi. R.I.P.

    Bwana yule a.k.a Amatusi Liyumba ...akina Ray C walikumbatia mtalimbo mazima mazima🤣🤣😭
Back
Top Bottom