Ndo nastuka hapa washkaj wanaplay kam wako waaminifu, mpaka mekosea muamala wameurudisha fresh tu. Ila nahs kam wana target yao ndo nkasem niulze kwa wenye experience
Wakuu, kuna huu mchezo unaendlea huko telegram , unapewa link unaingia kwenye web ya Ali express unalike bidhaa zao unalipwa.
Yeyote mwenye experience, hii ni genuine kwel maana nachojua hamn pesa rahisi hasa mtandaoni. Binafsi nimelipwa hapa ila nahisi kam ni mtego.
[emoji1787][emoji1787] umepambania jina la chama kwa kweli, ubarikiwe kwa roho hyo ya upendo kwa mama na mtoto.
#Netx time kuwe na Happy ending sasa[emoji6]
Kama mwanachama wa vijana wa hovyo naomba kuwasilisha ombi kwa wakatisha tiketi, wawe wanatupanga kwa kuzingatia Gender Balance.
Safari zinakuwa ndefu sana ukiangalia back bencherz ni Girls tupu kama wapo Clinic[emoji17]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.