mkuu wana ukawa wameishiwa wanahaha sasa, wameumbuka kupita maelezo hati ya muungano kupatikana na sasa watajifanya wanapotezea hawataiongelea, hawana chakusema tena wataishia kuleta mipasho na majungu yao kama kawaida. wameshindwa kupata kura kwa wananchi wanaishia kuendekeza lugha chafu na...