mkuu chige bado tunakusubili, ktk majumuisho yako utuambie ni vp waandishi wa filamu wana makosa ikiwa wasani bado wana uwezo wa kuchagua kazi wapendazo
kama unakili haujasema haina umuhimu basi umetambua ni muhimu na umuhimu niulengao ndio huo huo ulioutambua kwa kusema hujasema haina umuhimu. hapo vipi mkuu
NImependa hapo uliposema dakika kumi yupo super market ananunua vitu na anaonekana kila anachochagua ila akifika home anaonekana pia anavipanga vitu vile vile ni kweli mkuu, suala la muda haliheshimiki.
JE, NI KWELI BONGO MOVIE INAKUA?
Nianze kwa kusema nimekuwa mdau wa bongo movie kwa mda mrefu sasa, tangu enzi za shamba kubwa, nsyuka nk. Hivyo nimeona ni vyema na mimi leo nikatoa yangu ya moyoni kuhusu tasnia hii. Bongo movie ni kazi kama zilivyo kazi nyingine tena pengine ni kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.