Recent content by Edouardmanga

  1. E

    Ushahidi wa Jinsi Zitto alivyompigania Mnyika Jimbo la Ubungo 2010!

    Halafu mambo mengine hayahitaji hata elimu ya sekondari kuyafahamu..zito kama mwanachama wa chadrma enzi hizo ni wajibu wa kazi kumnadi mgombea yoyote kwa hiyo hapo hakua anamnadi mnyika kama zito hapana alikua anamnadi kama chadema na ndo mana hakwrnda kumnadi idd zungu ilala au azan...
  2. E

    DR. W. Slaa: A sensational keynote Speech at Purdue University, Indiana State, USA

    Unawezaje kuikosoa hii speech kama huna matatizo..?..huwi na akili timamu kama utajaribu kuikosoa speech ya Dr slaa kwa sababu ulizotoa..napenda nikusaidie jambo moja kua upeo wako ndo umishia kwenye hayo ulioandika. hivyo levo iliyotumika kuandaa hiyo dpeech ni kuja mno kulinganisha na upeo...
  3. E

    Kwanini Zitto nisikuite msaliti?

    Adui wa harakati za mabsdiliko Tanzania ni watanzania kams hao wasiopima mamvvbo hata ukwrli kama huu mtu anapinga yu yaanni wanatia hasira sana....k#$%*yo zai
  4. E

    Tamko la Maaskofu na Wachungaji wa Kipentekoste juu ya kuugua ghafla kwa Askofu Gwajima

    Nyie waambieni waumini wenu wasiichague ccm huyo pengo mwacheni aendelee kua mtumishi wa watu na nyie kueni watumishi wa kondoo..mi cjaona sababu ya pengo kuongea ongea angenyamaza kimya mana hata yeye kadharau maamuzi ya wenzake..angetulia awaambie waumini wake kanisani na sio kwenye vyombo vya...
  5. E

    Prof. Lipumba na wageni wengine Wasusia Uzinduzi wa ACT Tanzania

    Lipumba akiisapoti ACT ni sawa na chadema kuisapoti ADC...watu wenye akili timamu wanaelewa kinachoendelea ila wale mazuzu ndo basi tenaa..zitto hana haja na urais kazi yake ni kuvuruga harakati za mabadiliko na kupunguza kura za upinzani hasa chadema...mi nawashauri wenzangu na mimi wajiadhari...
  6. E

    Dr. Sinare acha kutumika kuidhoofisha ACT Sio chama cha Zitto ni cha Watanzania

    Acha uzuzu we mtoa mada kufanana kwa vifupi sio kosa inategemea na katiba husika kuna katiba nyingine hazina masharti but kuna nyingine zenye sharti kwamba si ruhusa kuiga hata kama umeongeza maneno mbele...
  7. E

    Orodha ya viongozi na wanachama wa CHADEMA Waliomfuata Zitto ACT Tanzania

    Kweli chadema ni habari nyingine watu wanajaribu kutengeneza fiyna lakini wapi mfupa ulp mshinda fisi mbwa atauweza wapi?
  8. E

    Kwanini Zitto Kabwe hakufahamu kama CHADEMA ina mwenyewe?

    Watanzania hii tabia ya kumpenda mtu kama mtu ndo imetufikisha hapa tulipo lazima yumpende mtu sawa lakini pia tuangalie na chama kinacho simamia sheria zake na za nchi kwa ujumla bila kuangaliana usoni..uzitto na umbowe tuweke pembeni kila mwanachama anajua wapi mbowe kaitoa wapi chadema huwezi...
  9. E

    Kwanini Zitto Kabwe hakufahamu kama CHADEMA ina mwenyewe?

    Hapo zitto nae kajiongeza kile kipengele kinasema mwanachama akikipeleka chama mahakamani na akashindwa kesi basi atakus amejifukuza uanachama wake mwenyewe .narudia akishindwa kesi kwa hiyo chadema haikuzuii kwenda mahakamani bali nenda ukashinde kesi kwa maana ya ukishinda haki zako zipo na...
  10. E

    Mtei: Zitto Hahitajiki ndani ya CHADEMA, Uamuzi wa Kamati Kuu ni wa Mwisho!

    Njerere aipo mkataa jk na lowasa ulisha jiuliza kwa nn au unajifanya hujui kua mtei ana turufu katika chama.
  11. E

    Kamanda Kova: Kufuatia mahojiano na Dr. Slaa kesi mbili zimefunguliwa

    Mshtakiwa anapomshtaki mshtaki wake..hahaaaa hapo tuwaachie wanasheria mana dah
  12. E

    Shibuda si riziki CHADEMA

    Shibuda shibuda hilo ndo snitch letu chadema likiongea hovyo ccm wanaliita wanalipa michapo yote linatuletea chadema.hahaaa. wakoleze wakoleze..hili game ni noumer
  13. E

    NEC: Hatuwezi kumvua ubunge Zitto bila taarifa ya Spika wa Bunge

    Tume kamatume inajua taratibu zote ambazo chadema inabidi ifuate wao wakae kimya wasubiri chadema wawaletee barua au wasiwaletee hii mambo mara leo tume imesema hivi mara leo ofisi ya bunge imesema hivi yanahusu nini?.ama kweli huyu chalii alikua double agenty.CHADEMA NI HOMA YAA JIJI TUTAKUA...
Back
Top Bottom