@ Mkandara!! Kuna mfuko wa jimbo unaosimamiwa na Halmashauri. Hiyo KDI sio mfuko wa Jimbo ni NGo ya m2 binafsi ambalo jukumu lake kiutendaji havitofautiani na hilo la Lameck na Deo. Alichofanya Zitto ni kubuni matumizi mengine ya posho yake. Kama yy muungwana apeleke hiyo pesa mkoa mwingine...
@ Kasheshe! Atakuwa amelipwa sawa na wenzake kwa kutumia akaunti ya KDI. Sawa na Mbunge anaepeleka maendeleo yake mwenyewe. HAYUPO PEKE YAKE WAPO WENGI. WAMRUHUSU NI WAJIBU WAKE KIKUBWA AMECHELEWA ILITAKIWA TOKA 2005.
Kwa uamuzi huo nampongeza sana ZITTO. Ombi langu kwake rafiki yangu ni kutotumia mbinu hiyo kuwahadaa Watanzania kwa kudhani hawajui kuchuja na kupembua mawazo yao. Hiyo Kigoma Development Initiative (KDI) inafanya shughuli zake wapi???? Bado ni pesa hiyo hiyo inafanya kazi ya jimbo lake. HIVI...
Unataka Nape ajibu Makombora ya NANI !!!!!!????? Ameongea nini au alikuwa anapaza SAUTI??? Unaifahamu historia yake huyo Mzee wa MAKOMBORA KWENYE ANGA ZA SIASA???:dance: Kumbuka aliwahi kukwepa viti kwenye kikao cha Chama fulani. Kwenye uwakili nampa Bravo lakini kwenye SIASA mmmmm!!!!!!! anatia...
Ndg. Kikubwa pambana na HOJA. Amezungumzia Mshahara wa KIPENZI CHAKO. Swali ni je anaupata hivyoooo!!!! Msingi upi ulijengwa kumuhalalishia kupata kiwango hichoooooo!!!! Kama CCM inautawala mbovu huo uwezo wa ww kutukana unaupata wapi!!!! NI VYEMA KAMA BABA YAKO MZAZI HAJAKUSAIDIA KIMAISHA, KUOA...
Si kutumwa na Mjomba au Shangazi Mvuni!!. UTASHI NI JAMBO ZURI. Utashi ndio unaomtenganisha BINADAMU na WANYAMA wengine. Binadamu anapopungua utashi hugeuka na kufanana na wanyama. Hivi kosa la Nape ni kuyasema mapungufu ya Dr. Slaa na Mbowe???? Je mwataka kutuambia hao ni watakatifu???? mnataka...
@Mchunguzi!!!!! Huo ushahidi wa Major kumtuhumu kiongozi Mkuu wa Nchi kaupata wapi??? Ashukuru JK ni mpole na mwenye hekima na Busara anajua watu anaowaongoza ni wa aina gani. Vyema amsamehe huyo Major kwani nae ni miongoni mwa watu anaowaongoza. Ifike wakati watu wa dizaini hii ya Major...
@ Major. Kosa ni nini? Kuzaa au Rostam.!!! MWANA wewe!!!!! MUHESHIMU BABA NA MAMA YAKO upate heri Duniani. Ombi langu kwa Utawala wa JF kuruhusu UPUUZI kama huu kutumwa mtandaoni na wao kuuafiki. HII NI KASHFA KUBWA KUMTUHUMU KIONGOZI KIPENZI KWA WATANZANIA. Mwandishi huyu ananikumbusha hadithi...
Kila mtu ndg. yangu anao uhuru wa kutoa maoni yake lakini maoni ya mtu mwenye BUSARA utayajua na Maoni ya mtu aliyetoka MIREMBE pale Dodoma nayo utayajua. Mwenyezi Mungu akusamehe kwa kutumia vibaya uhuru wako wa kutoa MAONI. RUSHWA inasemwa hata kweta kwenye vitabu vitakatifu. Kama watu wako...
Hapo kuna ukweli. Vyema utoke na muongozo juu ya POSHO watakapo fanya ziara wote hao. Hao waheshimiwa waamuapo kufanya ziara hilo vyema walizingatie. Kubwa MSAIDIENI DR. JK KUFANIKISHA MALENGO YAKE NA CHAMA CHAKE.
@Makene. JK si kwamba analalamika alichokuwa anakifanya ni kutoa uongozi wa pamoja kwa watendaji wake. Mtoto unamzaa ww na kumlea bado kama mzazi huchoki kumkanya na kumuongoza. Hotuba yake imeonyesha dhamira yake ya kuwatumikia Watanzania. Tumuunge Mkono kwa hili Makene hata kama unamapenzi yako.
@ Enock/ Kibanga/ Ciril - Jamani tujue dhamana ya KIONGOZI. Ukizunguka huko vijijini kwetu matatizo ni mengi sana. Kwa hiyo BUSARA ya kiongozi nikuangalia namnagani atawasaidia watu wake. Hilo la Cape Town ni DHAMIRA yake. Mpeni nafasi ndipo tumpime 2015 akikabidhi UONGOZI.
Dada Regina. Wakati mnakuja huku kwetu kusini mjue tunamatatizo yetu. Msilete matatizo yenu kutuongezea mzigo. Kumbuka huko mliko toka matatizo yao hamjayamaliza wala kuyapunguza. Watu wa mikoa ya kusini ni wakarimu sana huwa tukisalimiana au kupeana kitu huwa tunapiga goti. TUNASUBIRI HIZO MILA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.