Recent content by Edger Lunduno

  1. E

    Utoaji wa mkopo kwa diploma 2017-2018

    Hiyo gvt sponsorship unaipata tu endapo kile kipindi cha kuchagua shule baada ya kumaliza form four ww chaguo lako la kwanza unaweka VYUO VYA UFUNDI na siyo FORM 5 then kama utakuwa na vigezo vya ulichokiomba bhasi lazima upate gvt sponsor mfano mzuri kwa madgo wa mwaka huu wote ambao...
  2. E

    Utoaji wa mkopo kwa diploma 2017-2018

    Sidhani kama kilishawahi tokea kitu kama hicho, ila ninachojua mimi kama umechaguliwa kusoma diploma under government sponsorship yaani badala ya kwenda form five ukaamua kwenda vyuo vya ufindi kama MUST,DIT,ATC au Water Institute (WI) hapo kweli utalipiewa ada na utapewa pesa ya field na msosi...
  3. E

    Mnaoomba vyuo epukeni kozi hizi kama hamna channel

    Hasa unashauri mtu asijaze hizo kozi harafu unasema hakuna raha kama kujaza kozi unayoipenda hasa una uhakika gani kuwa watu hawazipendi hizo kozi? kingine hakuna kozi marketable kama statistics ukiachana na afya na ualimu
  4. E

    Uhakiki TCU

    Ni majina ya madgo wanaoingia second year thic year hakuna wa mwaka wa tatu wala wanne wala wa5
  5. E

    UDOM Pitia hapa, Neema Hizi

    ada unalipa nusu me nna mdogo wangu yupo udom anasoma bsc Statistics analipa 220000 kwa mwaka yaan 110000 kw semist.........na pia 710000 ya boom cyo kwa semister ila ni kwa miez miwil wakat semist moja ina miez mi4
  6. E

    UDOM Pitia hapa, Neema Hizi

    kuna jamaa alisema udsm hiyo program ipo wakat mm nmefaiti saana udsm ila imeshindikana kusaidiwa hata peke yangu ndyo maana nnamshangaa bt hongera kwao UDOM
  7. E

    UDOM Pitia hapa, Neema Hizi

    Acha uongo ww umesoma udsm gan ww watu tupo hapa udsm mwaka wa tatu huu hakunaga hicho kiyu ebhaana much lov saaana kwenu udom mmewasaidia watt wa masikin wanaojilipiaga wenyewe
  8. E

    Application 4th Round ni majanga. TCU wanazingua!

    Lakini 4th round ni kwa applicant wanaopitia TCU tu cyo NACTE au mm ndyo cjaelewa hiyo scrnsht yako
  9. E

    Je TCU wametoa muda tena wa kuapply?

    yeap na inawahusu hata waombaji wapya ni kuanzia jtatu tr 24 had jtano tar 26 this month taarifa hii hapa
  10. E

    Je TCU wametoa muda tena wa kuapply?

    Vp inawahusu hata waombaji wapya au ni wale tu waiotemwa rounds zingine (1st hadi 3rd rounds)
Back
Top Bottom