Huko zaidi ya maofisi kuna nn cha maana CBD ni zaidi ya maofisi hapo haujaiweka UDOM hahaha na kwa taarifa yako vilinge vya wahuni ndo vinanogesha miji sio mji umepoa kama uji wa mtama uliolala unafaida gani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.