Ukiachana na Mwalimu Nyerere Lissu ndio the second Great Man of this country.
Huyu jamaa akishika Dola ni lazima mabadiliko positive ya Kiuchumi na kisheria yatokee kwenye nchi hii.
Mali za nchi hii zilizoibwa na kutaifishwa au kukabidhiwa kwenye vyama vya siasa ni lazima zirudi serikalini...
Umeongea points sana, hao walioama pamoja na Mbowe kama kweli walikuwa na nia ya kuleta mabadiliko ya kisiasa kwenye nchi hii basi kipindi hiki wangekuwa wa kwanza kumshukuru Mungu kwa kutupa zawa ya Tundu Lissu.
Ila Mungu ni Mweza na sasa ameweka ukeli wote wazi na kila mwenye akili anajionea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.