Recent content by eddie barongo

  1. E

    CV ya Dr. Francis

    Halafu unapodharau PhD ya UDSM, unamaana gani wakati wanaukawa mnyika na mbatia walishindwa kumaliza hata degree ya kwanza pale UDSM.wakaondoka kusoma degree za .com.
  2. E

    CV ya Dr. Francis

    Mbona unang'ng'ania article aliyopublish. Inaelekea haufahamu kama university ina functions nyingi zikiwemo na public outreach pamoja na kufundisha. Mbona huulizi consultancy alizofanya au evaluation ya ufundishaji wake. Kwani unafikiri hoja ya kupublish ina mashiko siku hizi? Au haujafahamu...
  3. E

    CV ya Dr. Francis

    hakuna kuabisha mtu Dr.Francis yuko vzr anawakilisha anachokiamini.
  4. E

    CV ya Dr. Francis

    jibu hoja kwa hoja na si kebehi na matusi William J.Malecela ametoa ufafanuzi mzuri wa kina tu nawe jibu kwa hoja
  5. E

    CV ya Dr. Francis

    kwani Mtu kuwa Mtt wa Kiongozi ndyo umtusi Ndg William J.Malecela ametoa ufafanuzi mzuri tu
  6. E

    CV ya Dr. Francis

    watanzania tunapenda kujadili mtu pasipo matatizo yanayowahusu watanzania. .Dr.Francis ni mtu makin sana
  7. E

    CV ya Dr. Francis

    upuuzi tu mnasakama bure Dr.Francis kwa sababu kawakuna
Back
Top Bottom