Recent content by Ed771

  1. E

    Je una imani na Rais Samia?

    Kwa uonavyo nchi inavyokwenda unazungumziaje imani yako kisiasa na Rais tuliyenaye?
  2. E

    Uhamiaji wamezuia passport yangu!

    Natumai wote muwazima, na pia familia zenu, na marafiki wanaendelea vyema. Mimi nina swali linanitatiza juu ya uhamiaji, nimeomba passport baada ya kupotea mbaya zaidi wameizuia kwa muda wa miezi 6 yaani mpaka mwezi wa 5 mwakani, ila nasikia mara nyingi inaashiria inahitajika rushwa ili kuipata...
  3. E

    Wizi wa kuaminiwa!

    Leo amelipa sehemu ya deni
  4. E

    Wizi wa kuaminiwa!

    Habari ya leo, Nina matumaini wote wazima. Mimi nimepata mkasa tangu tarehe 12.11.2017, nilienda kununua simu Kariakoo, mtaa wa Aggrey, nikauziwa simu Nokia fake, ambayo nilifanikiwa kuirudisha, ila toka niirudishe nimekuwa nikizungushwa kupata pesa yangu, yaani nimekuwa nikiambiwa kesho...
  5. E

    Kero za ofisi za uhamiaji

    Yaani inakaribia mwezi wa pili huu naomba Passport uhamiaji wananizungusha kama sio mtanzania, inauma kwa kweli, kila unapoenda wanaagiza ulete document mpya nå kila siku wanataka urekebishe kitu hivyo nimeamua kuja hapa jamvini kujua kama hii ni kawaida au la
  6. E

    Uzi maalumu: Wanaotumia Kikuu na Jumia kufanya manunuzi mtandaoni

    Na huenda hiyo ya 80 mpk 120 kwa nchi za nje inaonekana feki ila kwa huku inaonekana bora kuliko
  7. E

    Uzi maalumu: Wanaotumia Kikuu na Jumia kufanya manunuzi mtandaoni

    Ni kweli ila ngumu kwa wote, after all kama mtu haki yake mpe tu, dhulma huchafua nyota
  8. E

    Uzi maalumu: Wanaotumia Kikuu na Jumia kufanya manunuzi mtandaoni

    Hata wafanyabiashara nao si wakweli, unaweza kulipa bidhaa A anakuletea B akijua wazi atalumbana na mteja. Haipendezi. Bidhaa nyingi za China zilizokuwepo kwenye soko hata Ulaya huzikuti hata hizo zinazosadikiwa kuwa grade ya juu nadhani ni kwa soko la Afrika
  9. E

    Uzi maalumu: Wanaotumia Kikuu na Jumia kufanya manunuzi mtandaoni

    Bidhaa za China nyingi hufanana design sio quality, na online huwa mara nyingi wanaweka tu picha bila maelezo ya kina juu ya quality ya bidhaa. Ni njia ya kuwarubuni wateja.
  10. E

    Uzi maalumu: Wanaotumia Kikuu na Jumia kufanya manunuzi mtandaoni

    Ni tatizo kwa kweli, bado tuna safari ndefu kufika wenzetu walipofikia.
  11. E

    Uzi maalumu: Wanaotumia Kikuu na Jumia kufanya manunuzi mtandaoni

    Unapojibu hoja tanguliza hekima, sio kubwatuka kama uko kwenye gulio, ningekuwa sina pesa ningesubiri week 3?
  12. E

    Uzi maalumu: Wanaotumia Kikuu na Jumia kufanya manunuzi mtandaoni

    Hivi umesoma post vizuri au moyo umeweka mvunguni?
Back
Top Bottom