Habari ya leo,
Nina matumaini wote wazima.
Mimi nimepata mkasa tangu tarehe 12.11.2017, nilienda kununua simu Kariakoo, mtaa wa Aggrey, nikauziwa simu Nokia fake, ambayo nilifanikiwa kuirudisha, ila toka niirudishe nimekuwa nikizungushwa kupata pesa yangu, yaani nimekuwa nikiambiwa kesho...