Recent content by ECONOMY

  1. ECONOMY

    Hata kama kazi inaendelea. Mbona hatuoni miradi mkakati mipya zaidi ya kujikongoja kumalizia miradi aliyoasisi Hayati Magufuli?

    Yaani huanzishe miradi mingine ndio afya hiyooo.hii yenyewe tu tunajuta
  2. ECONOMY

    ACT Wazalendo kuzindua makao makuu mapya

    acheni mfano kanda ya pwani ofisi iko wapi?
  3. ECONOMY

    Maxence Melo: Hakutakuwa na haja ya visimbuzi vingi tena baada ya miaka 5

    Sasa huo ukabila wa nini kwenye mambo ya msingi? Kwani wewe huwezi kuongea mpaka utaje kababila la mtu?
  4. ECONOMY

    JPM aliweza Live!,Je! SSH anaogopa nini?

    Rais hapaswi kudeal na kesi za mtu mmoja mmoja ndio maana SSH akifika anamhoji mbunge au mkuu wa mkoa hawa ndio walioshika mahitaji ya sehemu zote.Shida za mmoja mmoja mwananchi inabidi asiwasilishe kwa viongozi wa ngazi ya chini.kama hajatimiliziwa mahitaji yake sasa hivi kuna media nyingi sana...
  5. ECONOMY

    Kumbe ACT-Wazalendo wamepanga nyumba ya Maalimu Seif

    Chadema ni kama vile waganga wa kishua vile
  6. ECONOMY

    Baadhi ya vituko vya wana CCM ya Magufuli vs CCM ya asilia

    Wewe mbona uchaguzi wa 2020 mliuharibu kama unaongea ni sahihi?
  7. ECONOMY

    Waziri Makamba pigia kampeni mkaa wa mawe na siyo gesi ya Rostam Aziz

    Yaani sisi tutumie mkaa wa mawe?
  8. ECONOMY

    Wosia wa Hayati Magufuli ”Mtanikumbuka” Unatimia

    Kwa hiyo wewe wapinga kukauka kwa mito?
  9. ECONOMY

    Pamoja na kusuasua ujenzi wa bwawa la JNHP lafikia 74%

    Inchi hii inawatu wanafki na waongo kabisa .mtu unaongea bila wasiwasi eti mradi umesuswa? Kwani hayati aliucha katika asilimia ngapi? Miongoni mwa dalili ya afya ya akili kumchukia mtu bila sababu.wewe unamchukia mama bila sababu za msingi. N.B acha chuki za kidini,kikabila,na kikanda.
  10. ECONOMY

    Chato Hospital Legacy ya Hayati Magufuli inazidi kusambaa, pamoja na jitihada za kuipotezea

    Kwani bandari ya bagamoyo iliyopigwa chini ilikuwa ni mali yake binafsi?
  11. ECONOMY

    Ziara ya Rais Ruto: Yule Mkalimani achukuliwe hatua za kinidhamu!

    Mawasiliano gani? Kwani huyo mkalimani alikuwa anatumia radio?
  12. ECONOMY

    Juhudi zipi za kidiplomasia zilitumika kuizuia vita ya Kagera?

    Mwili wa milton obote uliletwa uganda?
Back
Top Bottom