Recent content by ebrania

  1. E

    Kwanini uliamua kufanya mapenzi na Mke/Mume wa mtu?

    Alikuwa na mdogo wake walikuja sehemu nayofanyia kazi mdogo wake ndio alikuwa na shida nilimsaidia tu kama dadaangu kila mtu akaendelea na hamsini zake Baada ya mwezi tukakutana kwenye daladala yeye akawa siti ya mbele mm ya nyuma na wala hakunishtua ila baadae wakat Wa kutoa nauli nashangaa...
  2. E

    Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Dah! Nilifanya ujinga mmoja ambao mpaka sasa nikikumbuka moyo unaniuma sana. Kuna Shemeji yangu yaani rafiki na mke wangu alikuwa na mazoea sana na mke wangu kiasi kwamba alikuwa anakuja Mara kwa Mara nyumban hata wakat mwingne mke wangu asipokuwepo kama kuna shida yoyote alikuwa anakuja...
  3. E

    Mwanaume aliyeoa ni rahisi sana kupata mchepuko kuliko asiye na mke

    We na we Acha povu, aliyekuambia mwanaume anaridhika na mke mmoja ni nani?
  4. E

    Uchokonozi: Kwanini Dereva wa Mwigulu hakuumia hata kidogo?

    Aisee ! Ndio umeamua kufanya haya
  5. E

    Ipo siku Mohamed Dewj atakuwa Rais wa Tanzania

    Katka muono wa kimaendeleo na fursa Mtu kama Mo alistahili kuwa raisi Lakn kwa Tanzania hapa Mo huwez kuwa Raisi hata iweje. .... Nadhan mnakumbuka Dr Salimu Ahmed Salimu pamoja na uwepo wake ndani ya serikali kwa mda mrefu pamoja na ushawishi aliounesha Lakn ona alivyopingwa kwa rangi yake...
  6. E

    Ulishawahi kuambiwa hivi: "Haaa yaani umekojolea ndani? Hivi unaakili kweli wewe? Mara ngapi nakukataza kukojolea ndani?

    Unataka kifo! Yaan mme wake hajashtukia hesabu Huna mtoto huyo ni Mali yake jamaa. Kazaliwa ndani ya ndoa yake kwenda kumdai mtoto unajitakia matatzo nakubwa sana
  7. E

    Nashindwa kuchukuwa maamuzi sahihi ushauri wenu wadau

    Bila shaka wewe ni msukuma..... Unachanganyikiwa na rangi? Wewe unafikir wangapi wamemuona? Faida ya kuoa nyumban. . 1.mkigombana ndani ya nyumba wazazi wanaingilia kati kuwapatanisha na kuwapa muongozo mwema. 2. Watoto watakuwa na kuwa ktk hali ya makuzi mema kulingana na mila na desturi za...
  8. E

    Sisi waafrica tumezaliwa na upumbavu wa kurithi.. Tumeijenga Ulaya bila sisi wenyewe kujijua badala ya kuijenga Africa..

    Mbona magofu Hayo? Kama alijenga huko iweje yawe magofu? Sent using Jamii Forums mobile app
  9. E

    Tupo pamoja

    Wasukuma mnatuletea shida Sana kisa tu raisi Ni mnyantuzu mnatupia mambo ya ovyo kweli Sent using Jamii Forums mobile app
  10. E

    Mkuranga, Pwani: Ahukumiwa kwa kutoa rushwa ili apate ajira

    Halafu mtuhumiwa mwenyew ni yatima hana baba wala maana alikuwa anahaha kutafuta angarau apate pa kujishikiza lakn kaangukia sehemu ya hatar... Lakn huyo jamaa ni mlaji mzur wa rushwa ila sasa asipokee tena rushwa hapa ni mbwaimbwai.... Nmeumia sana
  11. E

    Tetesi: Lissu kuongoza jopo la mawakili 29 kumtetea Bi. Fatuma Karume

    Hamna kesi hapo wanachokisubir ni aibu kesi itakapotupiliwa mbali pamoja lundo la mawakili wao
  12. E

    Wazazi na walezi mnayajua lakini wanayoyafanya watoto wenu?

    Leo umeongea point kama sio mzungusha mikono
  13. E

    Inawezekana Russia wapo imara katika masuala ya mitandao kuliko Marekani

    Bajeti ya jeshi ni dollar ngapi na ya Russia ni kiasi gani
Back
Top Bottom