Recent content by Ebrahim98

  1. Ebrahim98

    Ni wimbo gani kwa sasa unaweza kuusikiliza kwa masaa hata 7 non-stop

    Residuals ya Chris Brown. Inaongea na mimi
  2. Ebrahim98

    Nauza asali mbichi

    Habari waungwana. Nauza asali mbichi kwa bei ya jumla, kutoka mkoa wa Tabora. Lita 1 ni elfu kumi 10k Lita 5 ni elfu hamsini 50k. Lita 20 ni laki mbili mzigo wako. Baki salama.
  3. Ebrahim98

    Ulaya makanisa yalianza kufa baada ya viongozi wa dini kujitosa kwenye siasa, Tanzania linakuja taratibu

    Hebu tujiulize wanachoongea hao Maaskofu au wachungaji ni kweli? Kama wanaongeq kila siku mambo ambayo hamuyaoni (Jehannam, Paradiso, Shetani) na hamuoni shida... inakuwaje wakiongea mambo ambayo mnayaona wazi na kwa utashi kabisa yanahitaji kuzungumzwa mnaona shida? Ni kweli wenzetu...
  4. Ebrahim98

    Kilimo cha muhogo

    Habari Guys, natumaini mpo salama. Mimi ni mgeni wa kilimo, naomba kuuliza... ekari 6 za kikimo cha muhogo, kilicho tunzwa kawaida, kina wastani wa chini wa gunia ngapi? Nineuliza sababu nilisikia watu wakibishana hakivuki gunia 100!
  5. Ebrahim98

    Je, Kuna sheikh yoyote mwenye masters au phd kama ilivyo kwa maaskofu wengi?

    Wapo wengi sana, kama Abdlurhamna Sudais, Shams Al Morsalin, Ubaid ar Rahman Al Mohsen. Hapa zamani tuliwahi kuwa na Sheikh Ali Mohsen Bharwani ambaye alikimbia alifukuzwa Zanzibar baada ya Mapinfuzi na Karume , ila kwasasa sijajua kweli. Lakini ni vyema kujua kuwa Elimu ya Kiislam...
  6. Ebrahim98

    Contradiction, yaani Mungu anawaumba masikini ili matajiri watoe sadaka/wafuturishe ili Matajiri/wafuturishaji wapate thawabu kwa Mungu?

    Utajiri au umaskini ni njia ambayo Mungu kawekea kanuni... hakuna Mungu anaependa watu wawe Maskini, Unaskini ni chukizo mbele za Mungu japo sio dhambi. Mtume (saw) alisema "Tunajikinga kwa Allah (azwj) dhidi ya Ufakiri na Ukafiri". Wanafunzi wake (Masahaba) wakashtuka na kuuliza " Vinafana...
Back
Top Bottom