Hilo ni kawaida kwani huwezi kuwa mtawala na ukaeleweka kwa wote, watoto wako wa kuwazaa mwenyewe kabisa kuna mwingine anaweza asikuelewe na kukupiga vita ya kutosha
Ni vema mawaziri wakasimamia sera na taratibu za wizara siyo kusimamia mawazo yao, mawazo yapelekwe bungeni kujadiliwa siyo kuingizwa wizarani kama ndiyo utaratibu, tukumbuke Physics with Chemistry na kufutwa kabisa kwa somo la Agriculture miaka flani hivi
Madaraja yapo kwa mujibu wa sheria, annual increment ipo kwa mujibu wa sheria vilevile but ongezeko la mshahara kwa takwa la Rais ni ridhaa yake. Bado hajatumia ridhaa yake vizuri
Hawa wafanyabiashara wasio na maeneo rasmi siku zote hawaamini kama maisha yamebadilika, mkipelekwa sehemu rasmi hamtaki mfano Samora kwa Iringa wao wanataka kujipangia sehemu za kufanyia biashara asa hao watu wamipango mini wawe wanapanga nini kama ninyi mnataka kujipangia maisha? Tujifunze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.