Recent content by Eack

  1. Eack

    Why Prof. Kabudi is shy and quiet these days?

    Hii ndo tafsiri halisi ya "Dance according to the bit"
  2. Eack

    TikTok inagaragaza YouTube iliyokuwa ikisumbua kwa miaka mingi

    Fatilia maana ya "tube" ukishaelewa utaacha kuifananisha na tik plus tok
  3. Eack

    NMB yaipa Serikali Gawio la Tsh. Bilioni 45.5

    Kwa upande wng bado gawio naliona dogo, wabaneni wanauwezo wa kutoa zaidi ya hapo hao. Wanatufanyia unyama sna kwenye kaunti zetu huku
  4. Eack

    Tunaacha kuweka misingi imara ya Elimu yetu tunaenda kuwavizia waalimu kwenye ajira

    Na kasota mtaani miaka kadhaa plus stress za maisha, hizo content atakumbukaje ghafla?
  5. Eack

    Rais Samia amefanya kila Mtanzania kuwa na Matumaini ya kutimiza Ndoto zake

    Vipi wale wanaoishi kwenye ndoto zao tayari anawasaidiaje?
  6. Eack

    Kuna genge limejipanga kuharibu kwa makusudi sifa na hadhi ya Rais Samia

    Hilo ni kawaida kwani huwezi kuwa mtawala na ukaeleweka kwa wote, watoto wako wa kuwazaa mwenyewe kabisa kuna mwingine anaweza asikuelewe na kukupiga vita ya kutosha
  7. Eack

    Ushauri: Ikiwezekana hii mitihani ya usaili ya walimu itungwe, kusimamiwa na kusahihishwa na NECTA

    Ni vema mawaziri wakasimamia sera na taratibu za wizara siyo kusimamia mawazo yao, mawazo yapelekwe bungeni kujadiliwa siyo kuingizwa wizarani kama ndiyo utaratibu, tukumbuke Physics with Chemistry na kufutwa kabisa kwa somo la Agriculture miaka flani hivi
  8. Eack

    DP World inatisha. Musukuma alisema kweli

    Hili pekee halitoshi kuwa kigezo cha ushawishi kumbuka teknolojia inanunuliwa ni suala la pesa tu
  9. Eack

    Serikali ya Rais Samia imeinua morali ya kazi kwa Watumishi wa Umma

    Madaraja yapo kwa mujibu wa sheria, annual increment ipo kwa mujibu wa sheria vilevile but ongezeko la mshahara kwa takwa la Rais ni ridhaa yake. Bado hajatumia ridhaa yake vizuri
  10. Eack

    Bomoa bomoa Iringa ni hujuma dhidi ya Rais Samia au ni udhaifu wa CCM Iringa

    Hawa wafanyabiashara wasio na maeneo rasmi siku zote hawaamini kama maisha yamebadilika, mkipelekwa sehemu rasmi hamtaki mfano Samora kwa Iringa wao wanataka kujipangia sehemu za kufanyia biashara asa hao watu wamipango mini wawe wanapanga nini kama ninyi mnataka kujipangia maisha? Tujifunze...
Back
Top Bottom