Asee asubuh nimechelewa shule af sku iyo mwalimu mkuu alikuwa anakipindi cha hesabu asubuhi sku hyo nilikuwa nimevaa raba za mzee wangu we nlikula makofi nkarudi home.
Ila kwenye familia yetu hakuna mwenye tatizo hili ni mimi tu before nlikuwa nasumbuliwa na vidonda vya tumbo sasa kuna dawa nlitumia kwa muda sana nikapona za kampuni ya suma ila baada ya kupona tatizo la joint likaanza na nakumbuka hyo siku nlikwa nacheza mpira mpaka sasa yanauma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.