Wana jf hi post Niliona Jana nikaidharau xna, lakini kweli Leo yamenikuta, rafiki angu wa karibu alikuwa anaoga akateleza na kuanguka. kumuwahisha hospitali akafariki. Hakika bafuni so pa kawaida
Post Imenigusa Sana, Kabla Ya Kupata Kazi Nilikuwa Nasota Xna Wakati Nasoma, Kulima Vibarua Na Wazaz Wangu Ili Nipate Hela Ya Shule. Ndg Sikuwaona. Sasa Nimepata Kazi, Mara Mimi Mjomba Wako Mtoto Wa Babu Upande Wa Baba Yako, Mara Mi Dada Ako Upande Wa Bibi Mzaa Bibi Yule Bibi Wa Mama Yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.