Nissan Note namba D, haina tatizo lolote
1300cc,
Millages 170,000Km
Ya mwaka 2005.
Bei 6.7M, mazungumzo ni madogo sana.
Njoo PM kwa mazungumzo
Ipo Mwanza,
Unaikagua mwenyewe au njoo na fundi wako.
JF ya enzi hizo, hoja zilikuwa zinapanguliwa kistaarabu.
Watu walikuwa wana heshimiana hata kama wanatofauti zao kichama.
Natamani JF hii irudi
cc JamiiForums Mod
maendeleo huletwa na serikali. Hakuna mbunge mwenye fedha za kujenga barabara, hakuna mbunge mwenye fedha za kusambaza umeme, hakuna mbunge mwenye fedha za kuleta chochote bungeni.
Hivyo mnaposifia maendeleobya moshi mkumbuke kusifia serikali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.