Recent content by E-Maestro

  1. E-Maestro

    Karibu Kujifunza Kuhusu PMP® Prep Training! - ULIZA SWALI LOLOTE!!

    Habari wanajamii, Nakaribisha wote mlioko tayari kujifunza na kupata ujuzi kuhusu PMP® (Project Management Professional) kupitia PMP® Prep Master Class. PMP® ni nini? PMP® ni cheti cha kitaalamu kinachotolewa na Project Management Institute (PMI). Ni cheti kinachotambulika duniani kote na...
  2. E-Maestro

    SI KWELI Lamine Yamal mwenye miaka 17 ana mtoto wa miaka mitatu

    Pressureo_O yangu sasa imeshuka!!!
  3. E-Maestro

    JamiiForums: Je, Tunahitaji Sehemu Inayozungumzia Afrika na Uafrika?

    Comment yako inafikirisha, niko nyuma sana... inategemea na wewe umenielwa vipi na umesimama katika angle ipi. Unaweza fafanua.
  4. E-Maestro

    Waafrika tunamuelewa P.L.O. Lumumba? Au tusubiri afe ndio tumuite a true son of the African soil?

    Ni ngumu laskini hata kunyanyua midomo na kusema ni mwanzo wa chachu! Jamaa hata akifa basi hakika atakufa kwa stress na presha ya Africa.
  5. E-Maestro

    JamiiForums: Je, Tunahitaji Sehemu Inayozungumzia Afrika na Uafrika?

    Waafrika wenzangu, Tupo katika enzi ambapo, kama Waafrika, tunapaswa kufikiria Afrika kwa ujumla badala ya vipande vipande. Tunahitaji kushirikiana, kujadiliana, na kujenga mustakabali wetu kama bara moja. Katika kufanikisha hili, naona umuhimu wa kuwa na sehemu maalum kwenye JamiiForums...
  6. E-Maestro

    Waafrika tunamuelewa P.L.O. Lumumba? Au tusubiri afe ndio tumuite a true son of the African soil?

    P. L. O. Lumumba, mwanasiasa na mwanaharakati wa haki za kijamii kutoka Kenya, ni mmoja wa wasomi wachache ambao wamejitolea maisha yao yote kupigania Uafrika na kujenga ufahamu wa kina kuhusu Pan Africanism. Lakini je, sisi Waafrika tunamuelewa kwa undani? Je, tunachukua hatua kufuata...
  7. E-Maestro

    Bible Error: Mwanzo 1:1-3a Kosa kubwa la Milenia, kutafsiri kutoka kwenye lugha ya Kiebrania

    Wabongo muko na mambo... mmepewa bible muhangaike nayo... wenzenu wanapiga deals. Bible iko hivyo ilivyo kwa makusudi! Kukuvuruga tu! Namna pekee ya kuilewa bible ni kujizuia kui question! For critical thinkers, the bible will only make your head spin! Sitaki kupigwa mawe mimi!
  8. E-Maestro

    Je, Unajua Pesa Yako Inaenda Wapi? Tuangalie Matumizi ya Watanzania kwa Bidhaa za Ndani na Nje

    Pazito hapo. Lakini pia sio sababu ya sisi kutojitathmini! Kila kitu ni hatua. Huwezi fanya yote kwa wakati mmoja! Atapatikana kiongozi siku moja atasikia kilio cha Watanzania. na Mambo yatakaa sawa! Kwa sasa, TUISHI NAO TU!
  9. E-Maestro

    Je, Unajua Pesa Yako Inaenda Wapi? Tuangalie Matumizi ya Watanzania kwa Bidhaa za Ndani na Nje

    Habari Wana JamiiForums, Natumaini mko salama na mnaendelea vizuri na shughuli za kila siku. Leo ningependa tujadili jambo muhimu sana linalotuhusu sisi sote kama Watanzania. Tujaribu kuangalia jinsi tunavyotumia pesa zetu baada ya kupata ujira wetu na ni kwa kiasi gani tunachangia uchumi wa...
  10. E-Maestro

    Masters au PMP? Chagua Njia Bora kwa Ajili ya Kazi Yako! (Project Management Context)

    Hapana kiongozi, Katavi ni moja kati ya mikoa iliyopo katika kanda ya magharibi mwa Tanzania. Mkoa wa Katavi uko upande wa magharibi mwa Ziwa Tanganyika, na una mipaka na mikoa ya Kigoma, Tabora, na Rukwa. Mji mkuu wa mkoa wa Katavi ni Mpanda. Kuna jingine?
Back
Top Bottom