Recent content by Dx and Rx

  1. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Ni aina gani nzuri ya Baiskeli kwa Ajili ya Mazoezi ili kuimarisha Afya

    Salamu Wakuu, Habari za weekend. Nina plan ya kuanza mazoezi kwa ajili ya kuimarisha Afya, huu mwili naona siuelewi, nahitaji kuuweka sawa hasa kuimarisha misuli ya viungo. Nataka niwe na ka bike cha kimtindo cha kufanyia mazoezi kwa kurid huko barabarani badala ya kufuata bike za gym ambazo...
  2. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Bado sijaona ulazima wa kukopa kwa sasa, labda siku za usoni na siombei hilo litokee sababu mikopo inaumiza kwa muda mwingine kwa mtu ambaye hajainuka kiuchumi.
  3. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Miaka 2. Mikopo naiogopa sana kwa sasa
  4. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Hivi hii timu ya Ac Milan inamashabiki kweli

    Kuna uzi wake humu ebu nenda kaangalie wanavyojadili huko. Hata hivyo, AC Milan ilikuwa ya akina Kaka, Gattuso, Ronaldinho, Seedorf, Maldini, Inzaghi, Pirlo, Ambrosini, Cafu, Gilardino, Shevchenko, Dida. Ila ya sasa imepoa sana
  5. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania TANZIA Jimmy Carter, aliyekuwa Rais wa 39 wa Marekani afariki dunia

    Mtindo wao wa maisha na huduma bora za afya unawafanya waishi miaka mingi
  6. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Asante mkuu kwa kuunga mkono mawazo yangu
  7. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Saving kutoka kwenye ujira wangu
  8. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Asante mkuu kwa ufafanuzi wako
  9. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Nakubaliana na wazo lako la kutoa kuwa muumini wa nyumba kubwa, ila hili wazo lako naona linawafaa zaidi watu ambao tayari wana familia zilizosimama na wala si yule anayeanza au yuko mwanzo wa kujenga Familia. Kuanzia sasa hadi mtoto wa kwanza aje aanze kujitegemea itapita miaka 25, sasa wakati...
  10. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Hii ni plan endapo nguvu zikikatika njiani kabla ya kufika mwisho
  11. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Kwenye hii safari ya kupita kuna muda tunachoka na kuhitaji kupumzika, hivyo hivi ni vituo vya kupumzika kabla ya kuendelea na safari
  12. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Sawa mkuu. Hiyo hatua tunapambana nayo mbele kwa mbele mtu ukiwa ushahamia kabisa
  13. Dx and Rx

    JamiiForums Tanzania Kwa kianzio cha bajeti ya 25M, naweza kufikia hatua gani ujenzi wa nyumba ya vyumba 4.

    Wazo lako ni zuri sana mkuu. Lakini kwa mtu ambaye ndio familia bado ni changa, yaani watoto bado wadogo na unaendelea kuzaa. Hapo hadi waje kuanza kuondoka wakajitegemee tukadirie ni kuanzia umri wa miaka 25. Hivyo kwa kipindi cha miaka 25 watakuwa nyumbani na inatakiwa pawe na nafasi ya...
Back
Top Bottom