Habari nilizozipata ni kuwa aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu sa Serikali CAG Prof Assad amefiwa na mkewe ghafla usiku wa leo
Msiba upo nyumbani kwake Tegeta na maziko ni leo saa 10 jioni Magomeni
Poleni kwa Familia ya Prof Assad, ndugu jamaa na marafiki wote
---
Mkurugenzi wa...
Sawa mkuu, game ipo kama labda iwe dharura ya kukwamisha.
Suala la out ndio huwa sitokagi kabisa, tunaweza kutoka kwenda kununua mahitaji tukiwa pamoja basi
Pole mkuu umepambana sana kuizoea hiyo hali.
huyu wangu kuna mazuri mengi tu aliyonayo ingawa hivi vijitabia anavyokataa kubadilika navyo vinakera.
Upande wa kuvumilia hali ya maisha nampa maua yake, ameweza kuishi kulingana na hali tuliyonayo bila kufuata mkumbo kwa wanawake wengine wenye...
Ni mtazamo wako tu huu.
Kuna watu wanaishi kijijini washatoboa maisha. Yupo jamaa mmoja anamiliki magari kwa ajili ya biashara ya usafiri kutoka kijijini hadi mjini. Ameanza tangu 2002, ambapo alianzia kwenye uuzaji wa kuku miaka ya late 1990, then akafungua Duka, ikafuatia gari aina ya...
Aisee hapa umepatia kabisa kumuelezea, mara nyingi anaweza kutoa maneno kuashiria ananyanyaswa kwa kitu kidogo tu ambacho ni jukumu la mwanamke kwenye nyumba yake.
ni sahihi mkuu, lakini kwa mambo madogo madogo ya nyumbani haihitajiki mtu kusimamiwa na mwenzake. Mama mwenye nyumba inatakiwa awe kinara wa kumanage mambo mbalimbali ndani ya nyumba, sasa ikiwa kinyume chake panakuwa na tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.