Hana akili sasa kafanya nini si bora angejiua na yeye, mijanamke ipo kibao uswahilini si angeachana nae na kujitafutia mwingine. Mijitu ya bara haina hekima, ustarabu wala busara
Si mlimchukia Magufuli na bado tutamkumbuka sana Rais aliyewahi kutokea Tanzania na Afrika nzima. Sasa hivi hii nchi MUNGU tu atatuvusha uzembe na upigaji umerudi tena. Watanzania tuombe sana yupo mmoja mfia nchi tumuombe MUNGU 2025 apitishwe huyo.
Hii nchi tayali ipo mikononi mwa mabeberu na wanalindwa, kiukweli sisi masikini hatuna chetu tena , tumesharudi kulekule kwa mkwere, kipindi kile utawala uliwakumbatia sana mafisadi na mabebari waliokua wakiumiza hii n hi, mama ntilie na sisi wamachinga tulipata tabu sana na mamlaka zilizokua...
Ndugu umeongea hilo linalokupinga halina linachojua zaidi ya kuwa shabiki wa simba tu mala nyingi mijitu km hio hata umwambie mo anadhulumu haki za wanyonge atakataa atakwambia mo mzuri kisa simba. Mipumbavu sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.