Ustadh tongwe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 584
- 1,522
Si mlimchukia Magufuli na bado tutamkumbuka sana Rais aliyewahi kutokea Tanzania na Afrika nzima. Sasa hivi hii nchi MUNGU tu atatuvusha uzembe na upigaji umerudi tena. Watanzania tuombe sana yupo mmoja mfia nchi tumuombe MUNGU 2025 apitishwe huyo.Tanesco wamejisahau sana haiwezekani Leo inaenda siku 4 hakuna umeme mtaani tanesco wanazunguka tu mtaani na ngazi zao ukipiga simu zao za call center zote wamezima
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Ngoja niwasaidie kabla hawajaja
Tunaomba
1. Jina Kamili
2. Namba ya simu
3. Mkoa ,Wilaya, Kata na mtaa unaoishi
Si mlimchukia magufuri na bado tutamkumbuka sana raisi aliyewai kutokea tanzania na africa nzima. Sasa hivi hii nchi MUNGU tu atatuvusha uzembe na upigaji umerudi tena . Watz tuombe sana yupo mmoja mfia nchi tumuombe MUNGU 2025 apitishwe huyo.
Yaaan ndo walichobaki nacho tuNgoja niwasaidie kabla hawajaja
Tunaomba
1. Jina Kamili
2. Namba ya simu
3. Mkoa ,Wilaya, Kata na mtaa unaoishi
Mheshimiwa January Makamba.Si mlimchukia magufuri na bado tutamkumbuka sana raisi aliyewai kutokea tanzania na africa nzima. Sasa hivi hii nchi MUNGU tu atatuvusha uzembe na upigaji umerudi tena . Watz tuombe sana yupo mmoja mfia nchi tumuombe MUNGU 2025 apitishwe huyo.
3. Mkoa wa Pwani.Ngoja niwasaidie kabla hawajaja 🐒
Tunaomba
1. Jina Kamili
2. Namba ya simu
3. Mkoa ,Wilaya, Kata na mtaa unaoishi
Tanesco wamejisahau sana haiwezekani Leo inaenda siku 4 hakuna umeme mtaani tanesco wanazunguka tu mtaani na ngazi zao ukipiga simu zao za call center zote wamezima
Sent from my TECNO Camon CX using JamiiForums mobile app
Unafikiri basi mimi nahusika....Akija jamaa wa TANESCO ana uwezekano mkubwa wa kutokusikiliza mpaka umpatie 1. Jina Kamili 2. Namba ya Simu...nilishawauliza kama wakijua eneo mtu alipo haitoshi kushughulikia tatizo wakaniambia ni mpaka wapate taarifa kamili🐒3. Mkoa wa pwani.
Wilaya ya Kibaha
Kata ya Kongowe
Kijiji Cha Kigelo
Umeme unakatika kila siku hata leo 07/02/22
Meneja wa mkoa atuambie tumemkosea Nini?
Juzi umeme ulikatika kuanzia ijumaa usiku Hadi Jana jumapili mchana nyama na samaki vya mwezi mzima vimeoza tumetupa. Wengine tuliacha kula Maharage jkt.
Msitulazimishe kula MAHARAGE
Then Makamba na Maharage wajipange maana watu wao hawapokei simu kila Mara nilitaka kuwapa jina na simu yangu.Unafikiri basi mimi nahusika....Akija jamaa wa TANESCO ana uwezekano mkubwa wa kutokusikiliza mpaka umpatie 1. Jina Kamili 2. Namba ya Simu...nilishawauliza kama wakijua eneo mtu alipo haitoshi kushughulikia tatizo wakaniambia ni mpaka wapate taarifa kamili🐒