Sema Islamic Knowlegde iko broad sana, niliwahi kupitia mitihani kadhaa ya Islamic Knowlegde na Divinity, divinity imebase sana kwenye imani wakati Islamic Knowledge ipo na hata mambo ya kijamii ikiwemo na hayo ya uchumi. Nadhani huenda wameona iwe hivo.
Maono yangu tu
Barabara ya Liwale-Nangurukuru iwekwe lami
Barabara ya Liwale-Nachingwea-Masasi-Newala-Tandahimba-Mtwara iwekwe lami
Huo ndio MuaRubaini.
Kukarabati kila mwaka mi naona ni michongo tu ya makampuni ya watu fulani kuvuta hela za wananchi.
Aibu ni kufanya maandamano ambayo hata wenyewe CHADEMA wanajua hayana tija.
Wanayoyadai ni ya msingi, lakini njia wanayoitumia haiwezi kutatua wanayoyadai.
Soma vizuri uzi wangu
Ni sawa CCM siku moja waseme wawape CHADEMA dola waiendeshe. Ila kwa maandamano CHADEMA hawawezi kuwaondoa CCM madarakani. Hivi hawaoni mpaka sasa maandamano yao wamefeli!!?? Yaani wanaandamana alafu CCM hata hawajali, wapo na mishe zao kana kwamba hamna kinachoendelea....!!! CHADEMA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.