Recent content by DustBin

  1. DustBin

    Nini dhumuni la Serikali kuanzisha tahasusi hii ya biashara ikiwa na somo la 'Islamic Knowledge'?

    Sema Islamic Knowlegde iko broad sana, niliwahi kupitia mitihani kadhaa ya Islamic Knowlegde na Divinity, divinity imebase sana kwenye imani wakati Islamic Knowledge ipo na hata mambo ya kijamii ikiwemo na hayo ya uchumi. Nadhani huenda wameona iwe hivo. Maono yangu tu
  2. DustBin

    Waziri Bashungwa Apiga Kambi Lindi, Barabara ya Liwale - Nangurukuru Yaanza Kupitika

    Barabara ya Liwale-Nangurukuru iwekwe lami Barabara ya Liwale-Nachingwea-Masasi-Newala-Tandahimba-Mtwara iwekwe lami Huo ndio MuaRubaini. Kukarabati kila mwaka mi naona ni michongo tu ya makampuni ya watu fulani kuvuta hela za wananchi.
  3. DustBin

    Kuchapisha Fomu Moja 2025 Kwa mgombea wa CCM, Demokrasia imezingatiwa?

    Sasa mbona na wewe ni CCM mkuu
  4. DustBin

    Mzee Makamba aliwaza nini kusema ''Watu wazuri hawafi''?

    "Na msidhanie wale waliokufa ktk njia ya Allah kwamba ni mfu, (la hasha) bali wapo hai mbele ya Mola wao wanaruzukiwa." Kuna andiko linasomeka hivyo
  5. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Haahahhha.., mimi sio mkereketwa. Sio CHADEMA wala CCM wanaweza kunihonga ili niandike kwa matakwa yao. Nimeandika nikiwa raia ninayependa maendeleo ya nchi yangu.. (Maendeleo hayana chama)
  6. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Haahahh..., mngekua hivi na kule nje tungefika mbali sana. Nashukuru kwa kukosa kutoa hoja ya kukosoa bandiko langu
  7. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Aibu ni kufanya maandamano ambayo hata wenyewe CHADEMA wanajua hayana tija. Wanayoyadai ni ya msingi, lakini njia wanayoitumia haiwezi kutatua wanayoyadai. Soma vizuri uzi wangu
  8. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Ungetoa hoja ili uvunje hoja yangu kuprove kwamba nimetoa hoja pasi elimu
  9. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Maandamano ya leo yamedhihirisha niloyasema kwenye uzi wangu. Hii ni aibu ndugu zetu wana CHADEMA....
  10. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Shahada ya kwanza ya sayansi ya siasa, nimehitimu mwaka 2009, Udsm. Karibu
  11. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Maandamano, Maandamano, Maandamano. Hivyo ndo vipaumbele vyetu
  12. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Hahahh kwa hiyo umeshindwa kutoa hoja...
  13. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Ni sawa CCM siku moja waseme wawape CHADEMA dola waiendeshe. Ila kwa maandamano CHADEMA hawawezi kuwaondoa CCM madarakani. Hivi hawaoni mpaka sasa maandamano yao wamefeli!!?? Yaani wanaandamana alafu CCM hata hawajali, wapo na mishe zao kana kwamba hamna kinachoendelea....!!! CHADEMA...
  14. DustBin

    Maandamano ya CHADEMA ni ishara tosha ya kukata tamaa ya wao kuchukua dola

    Huna historia sahihi mjomba. Uhuru Tanganyika tulipewa...!!
Back
Top Bottom