Unaongelea watanzania gani we jamaa. Take my words, mtaani base kubwa ya vijana hawana mpango na hiyo taka ya no nini no nini. Msijipe moyo, huu ukweli nawapa
Komenti itasaidia nini kuongeza kura kwenye uchaguzi?? Hivi bado mna ndoto ya kuzuia uchaguzi? Tatuteni kura wazee baadaye msije kuilalamikia ccm inaiba kura, wakati mpaka sasa hamna mchakato wowote wa kujiandaa
Usitudanganye, kwamba hiyo movement eti imepenya kwenye mioyo ya watu. Suo kweli. Kwanza mioyo sio kiswahili fasaha. Ni hivi, msidanganyike na watu wachache wenye akaunti nyingi huko mtandaoni wakipost hizo kauli na wala sio movement. Kwani hujui movement inavyokua? Au unajizima data? Sisi tupo...
Mission yenu inafahamika kitambo. Mnapanga mumteke wenyewe kisha msingizie serikali inateka watu kwa lengo la kuipaka matope. Njama ya kuwatumia wale waliotoka Kenya imegonga mwamba, sasa mnatafuta njia nyingine. Hamtofanikiwa. Mungu yupo pamoja na watanzania wapenda amani. Pia Mungu yupo pamoja...
Waislamu wana mwongozo, hawaendi tu kwa kichwa mchunga. Waislamu wanajua namna ya kuyaendea mambo kwa kuwa yameelekezwa hayo ktk dini yao. Sio kila lifanyikalo husemwa kwenye vinara, waislamu wanajua njama zinazotumiwa na wasioitakia mema nchi hii.
Itakua hujaielewa dhana ya serikali ya uwakilishi. Wananchi wengi wanamkubali Rais Samia na serikali yake, ndio maana wakawachagua hao wabunge kuwa wawakilishi wao. Sasa nyie wachache msiompenda haiathiri chochote. Au umesahau kama hiyo ndio domokrasia?
Na nyie haters wa serikali ni wàchumia tumbo tu. Mbona kipindi cha Mzee Baba hatukuwasikia kina Gwaji Boi wakitoa matamko..?? Hakuna hoja aloitoa Gwaji Boi zaidi ameona dalili ya kupokonywa jimbo lake sasa anatafuta huruma ya wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.