Recent content by Dungeon

  1. Dungeon

    Hivi inakuwaje mzazi anakua tegemezi Kwa mtoto ambaye amejitafuta Kwa jasho lake bila kumrithisha hata mbuzi mmoja

    Sio kila kitu duniani unatakiwa kuhangaika nacho vingine unaacha vikupite unahandle kama Mtu mzima sio kila kitu lazima kureact sasa kusaidia Wazazi wako unapungukiwa nini? nikukumbushe hiyo chuki inayokuwepo kwa mzazi mmoja imetengenezwa na Mzazi Mwenza Mtoto analishwa tu
  2. Dungeon

    Autobiography: Nilivyoishi na 2 Pac Maisha ya kisela na Sanaa, Nas, Treach, Napoleon, Crips, Bloods na Death Row

    Si kweli Pac alikuwa na Ushawishi pia gerezani hasa kwa watu weusi Black Panther wengi walikuwa jela Wakati ule Crips pia hivyo hakupata changamoto sana kutoka kwa Wadungwa b Nitalezea nikifika Vita na East Coast
  3. Dungeon

    Autobiography: Nilivyoishi na 2 Pac Maisha ya kisela na Sanaa, Nas, Treach, Napoleon, Crips, Bloods na Death Row

    Si kweli Pac alikuwa na Ushawishi pia gerezani hasa kwa watu weusi Black Panther wengi walikuwa jela Wakati ule Crips pia hivyo hakupata changamoto sana kutoka kwa Wadungwa but Askari
  4. Dungeon

    Autobiography: Nilivyoishi na 2 Pac Maisha ya kisela na Sanaa, Nas, Treach, Napoleon, Crips, Bloods na Death Row

    1986: Kuanza Safari Baltimore School of the Arts Mwaka 1986, maisha yangu yalibadilika ghafla nilipojiunga na Baltimore School of the Arts, shule iliyojulikana kwa kukuza vipaji vya sanaa na ubunifu. Nikiwa na umri wa miaka 16, nilikuja na ndoto kubwa za kuendeleza kipaji changu cha michoro na...
  5. Dungeon

    Autobiography: Nilivyoishi na 2 Pac Maisha ya kisela na Sanaa, Nas, Treach, Napoleon, Crips, Bloods na Death Row

    Pac jela aliishi kama nyumbani kwa sababu Crips Walikuwepo wa kutosha pia huko jela
  6. Dungeon

    Autobiography: Nilivyoishi na 2 Pac Maisha ya kisela na Sanaa, Nas, Treach, Napoleon, Crips, Bloods na Death Row

    1986: Kuanza Safari Baltimore School of the Arts Nilikulia katika maisha ya kawaida ya huko Bongo land kabla ya familia yangu kuhamia Marekani kutafuta maisha bora. Mwaka 1986, nilijiunga na Baltimore School of the Arts, shule maarufu iliyojulikana kwa kukuza vipaji vya sanaa. Nikiwa huko...
  7. Dungeon

    Hivi inakuwaje mzazi anakua tegemezi Kwa mtoto ambaye amejitafuta Kwa jasho lake bila kumrithisha hata mbuzi mmoja

    Yeye kazi yake kukukojoa Na Kukuleta Duniani Pambana usitafute wa Kumlaumu saidia Wazazu kadri uwezavyo Nikukumbushe Mafanikio yapo kwenye nyayo ya Mzazi
  8. Dungeon

    English Medium ziko Ovarated sana. Hakuna elimu pale zaidi ya utapeli. Shida ni tumekuwa Brainwashed sana

    Mtoto wako kusoma English Medium anajiweka karibu na Connections hata ma classmates wake Wanakuwa na asilimia kubwa kufika sehemu flan tofauti na kayumba Mnaanza 100 Watafukuzwa 20 Wataacha 10 zero 50 div 3 zipo 10 div 2 zipo 6 div 1 4 kuna nini hapo? Acha ubahili
  9. Dungeon

    Waziri Mkuu wa Israel agundulika na Kansa ya tezi dume stage 3 baada ya kufanyiwa uchunguzi

    Watoto watukufu vitoto vya Mungu vitoto vya Mwamedi sijui hawajasoma hii
  10. Dungeon

    Dr. Zakir Naik awasili Zanzibar, afafanua kuhusu mhadhara atakaofanya, asema hakuna utata kwa wale wanayoyajua maandiko

    Wewe Muislamu Mambo ya yesu yanakuhusu nn? Dummy head Poor you Ndevu kama fagio
  11. Dungeon

    Hivi Pesa za kurithi na mali zake zina laana gani??

    Hazina Laana kinachokosekana ni Uzoefu wa kutumia hela ili ikupe hela kuhifadhi fedha na kumiliki Fedha, na Huu ndio Mwanzo wa umaskini
Back
Top Bottom