Haya mambo achaneni nayo, kabisa sana inchi yetu ina umizwa na wachache walio jimilikisha, mm binasifi kwenye kazi yangu sija wahi kukwepa Kodi, lakini nina umia sana ninapo ona Kodi yangu hakuna mtu ana ilinda ili ijenge inchi badala yake ina liwa tu na baadhi ya wajanja.
Rejea ripoti ya s.a.g...
Kwa mawazo yangu wasinge fanya hayo mambo ya tume Wala nini, kwa sababu watu wa karine hii yio wajinga tena, kila kitu wana jua ni Bora watulie mda wake uishe, aje mwingine lakini kufanya hivyo ni kutonesha vidonda tu.
Haya mambo ya kulipa Kodi iwe kwa wote wakiwemo na viongozi kuanzia rais na wabunge na mawaziri wote ili wote tujenge inchi kwa pamoja sio watu wa chini tu halafu wengine hawa husiki.
Mm naona hii awamu hawa watu wame zidi kujiweka wazi sana, sisemi kwamba awamu zilizo pita hawa kuwepo lakini hii imezidi, Ukingia huko TikTok yapo mapunga mengi tena haya ogopi.
Hivi bado kuna watu hawajui, ikitokea ume uza mechi ukawa na mashaka nenda hospital chapu kabla ya masaa 72 kuisha kuna dawa una pewa ya kuzuia kabisa usipate shida.
Lakini hapo sioni kosa lake, mambo ya biashara yapo hivyo, kwenye ZAHABU mwezi ulio pita tu ZAHABU ili panda sana, halafu ikashuka ghafla, watu wame nunua kwa pesa nyingi Kisha ikashuka ghafla watu waka ugulia wenye mitaji mikubwa Waka hifadhi lakini unaga unga mwana wakauza kwa maumivu kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.