Recent content by dump

  1. dump

    Miaka 40 sina nachomiliki zaidi ya smart phone

    Huyo ana subilia bahati ya wazazi wake waende mbinguni ili apate urithi.
  2. dump

    Nisaidieni, tumbo langu hujaa gesi na kupatwa kilungulila (heartburn)

    Kama upo dar tafta watu wanao uza mwani uta nishukulu, kama uta kosa zama mitandaoni uta wapata bei ni 20,000 elf tu.
  3. dump

    Baadhi ya Walokole ni kero kwenye nyumba za kupanga, wanapiga makelele sana. Ni janga kwa Taifa

    Wewe ndiyo mjinga wa kiwango cha lami, ulitakiwa umuelekeze kirafiki sio kama ulivyo fanya, usi mzarau mtu kabisa hata siku moja una weza kupata shida huyo huyo jirani yako aka kusaidia pia hujui yeye ana nini.
  4. dump

    Mtumishi ukishindwa kuyaishi uliyokuwa unafundisha ni heri kukaa kimya kuliko kuanza kuyapotosha mwenyewe

    Kwanza huyo dada ni tapeli sana, kuna mwaka wa nyuma ali umbuka, wakati ana muombea dada frani hivi, ali sikika aki mwambia muo mbewaji piga kelele, kweli yule dada waku ombewa akapiga kelele nime sahau tu mwaka, kama kuna mtu ana kumbuka aje aseme.
  5. dump

    TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Hii nayo ni Kali sana, umeme kukata inchi nzima niabu kubwa sana hii.
  6. dump

    Boss wa mke wangu ana moyo wa utu sana

    Au sio, nipe namba ya mke wako na mm nimchangie kidogo hela Kodi.
  7. dump

    Sauti ya kitaa

    Subutu, wakati tuna jipanga kuwa kamua boda na machinga ni matajiri sana, wazo lako ni zuli sana na hapo hata SS wa chini tunge amini kua nao ni wazalendo hivyo tunge lipa Kodi bila kinyingo, pia wangekua na uchungu wa kusimamia vilivyo Mali ya umma kwa kua na wao kuna jasho Lau, na sio wabunge...
  8. dump

    KERO Responded Hizi Mita za maji Kata ya Nyampande - Sengerema (Mwanza) mje mzichukue tu hazina faida

    Ume nikumbusha mbali sana hapo nyampande nili wahi pata pint 🤣🤣🤣
  9. dump

    Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) Kutangaza Panga la waajiriwa

    Naomba Mungu tu scoller kisanga asiwemu nampendaga sana muchaga wangu.
  10. dump

    Mlioko kwenye ndoa mnanizidi nini katika mazingira haya!

    Kama unaona kuowa hakuna maana olewa wewe sasa ili siku ukiugua mmeo akuuguze akufulie na boxer zako🤣🤣🤣
  11. dump

    Rais wetu Dr.Samia anafanya mambo mazito kweli huku St.Petersburg

    Kwenye Rais wenu mm nitoe kabisa sitaki.
  12. dump

    KERO Morogoro: Wakazi wa Misongeni A tunakosa huduma ya maji mwaka wa pili sasa kutokana na bomba kupasuka

    Harafu Moro ni moja ya ngome kubwa kabisa ya ccm someni namba vizuri.
  13. dump

    Chunga sana mtu asilie kwa ajili yako

    Wewe, hayo ni maneno tu mbona samia kawaliza watu kibao na yupo ana dunda, sasa hivi yupo urus ana kula Bata tu.
  14. dump

    Kama unataka uishi maisha marefu hapa duniani, basi achana na wake za watu

    Htuachi Hatuachi cha pekeako ni kaburi tu ndugu, wewe kula mke wa jirani yako na WA kwako analiwa na boda wake.
Back
Top Bottom