Recent content by dump

  1. dump

    Kifo cha Athumani Nyanza kinasikisha lkn kiwe funzo kwa vijana wa kiislamu

    Kumbe hiyo shetwani rajimu wana maanisha shetani huyu huyu wa ukweli.
  2. dump

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Mm naona hii awamu hawa watu wame zidi kujiweka wazi sana, sisemi kwamba awamu zilizo pita hawa kuwepo lakini hii imezidi, Ukingia huko TikTok yapo mapunga mengi tena haya ogopi.
  3. dump

    Hakuna mwanaume mwenye stress kama aliepata ajali ya kondomu kupasuka 😂

    Hivi bado kuna watu hawajui, ikitokea ume uza mechi ukawa na mashaka nenda hospital chapu kabla ya masaa 72 kuisha kuna dawa una pewa ya kuzuia kabisa usipate shida.
  4. dump

    Akitoka Samia anaingia Mchengerwa 2030

    Baada ya Samia ni zamu yangu habari ndiyo hiyo hutaki kakojoe ulale.
  5. dump

    Mnasema mapenzi yanauma? Hivi umewahi poteza pesa ya mkopo ukaona maumivu yake?

    Mapenzi yanauma ukiwa kijana mdogo lakini ukifika 45+ hayaumi mm nawaza pesa zaidi.
  6. dump

    Huyu Dogo Zungu ajiangalie sana kauli zake

    Lakini alikosea kutukana matusi alitakiwa ajenge hoja, ujana mwingi
  7. dump

    Tunampa Bongo Zozo hadi Jumatatu aturudishie hela zetu

    Lakini hapo sioni kosa lake, mambo ya biashara yapo hivyo, kwenye ZAHABU mwezi ulio pita tu ZAHABU ili panda sana, halafu ikashuka ghafla, watu wame nunua kwa pesa nyingi Kisha ikashuka ghafla watu waka ugulia wenye mitaji mikubwa Waka hifadhi lakini unaga unga mwana wakauza kwa maumivu kwa hiyo...
  8. dump

    Wabongo hili la tamaa na wizi halitujengi, linatuchafua

    Ndugu wabongo hata akilipwa million za dollar ataiba tu, zingatia mawaziri wana lipwa kiasi gani? Na posho juu lakini wanaiba tu.
  9. dump

    Tukilinganisha uchaguzi wa Uganda na Tanzania, Uganda inafanya vyema katika demokrasia kuliko Tanzania

    Mkuu hili swala lime tutia doa kama taifa ki mataifa ni aibu sana watawala ina bidi wajitathimi kabisa.
  10. dump

    Haya ni masharti ya waganga ili uwe tajiri wakutupwa , je utaweza?

    Kama mtu ana kubali kuua watu ili abaki madarakani, mm nishundwe mashariti kidogo hivyo nipe mamba ya huyo maalamu chapu.
  11. dump

    Hakuna biashara za kutangaza kwenye mabango ya matangazo ya miji?

    Mm naonglea mjini wewe una sema nyankumbu na chato.
  12. dump

    Hakuna biashara za kutangaza kwenye mabango ya matangazo ya miji?

    Ukifika kahama,geita,katoro na mwanza hakuna mabango kabisa ya uchaguzi.
Back
Top Bottom