Recent content by dump

  1. dump

    Idadi rasmi ya vifo ni 800?

    Haya mambo achaneni nayo, kabisa sana inchi yetu ina umizwa na wachache walio jimilikisha, mm binasifi kwenye kazi yangu sija wahi kukwepa Kodi, lakini nina umia sana ninapo ona Kodi yangu hakuna mtu ana ilinda ili ijenge inchi badala yake ina liwa tu na baadhi ya wajanja. Rejea ripoti ya s.a.g...
  2. dump

    Idadi rasmi ya vifo ni 800?

    Kwa mawazo yangu wasinge fanya hayo mambo ya tume Wala nini, kwa sababu watu wa karine hii yio wajinga tena, kila kitu wana jua ni Bora watulie mda wake uishe, aje mwingine lakini kufanya hivyo ni kutonesha vidonda tu.
  3. dump

    Eric Shigongo: Tujenge Uchumi wa kujitegemea kwa kuongeza walipa kodi

    Haya mambo ya kulipa Kodi iwe kwa wote wakiwemo na viongozi kuanzia rais na wabunge na mawaziri wote ili wote tujenge inchi kwa pamoja sio watu wa chini tu halafu wengine hawa husiki.
  4. dump

    Prophet IPM anahubiri injili gani?

    Kuna huyu wa kujiita nabii shilla yupo wapi kwa sasa hawa jamaa wana ujinga sana.
  5. dump

    Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Hakikisha una piga shoo kwa mkao wa dog au mbuzi kagoma kwenda hapo lazima mtoto wa kiume mkuu.
  6. dump

    Kifo cha Athumani Nyanza kinasikisha lkn kiwe funzo kwa vijana wa kiislamu

    Kumbe hiyo shetwani rajimu wana maanisha shetani huyu huyu wa ukweli.
  7. dump

    Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Mm naona hii awamu hawa watu wame zidi kujiweka wazi sana, sisemi kwamba awamu zilizo pita hawa kuwepo lakini hii imezidi, Ukingia huko TikTok yapo mapunga mengi tena haya ogopi.
  8. dump

    Hakuna mwanaume mwenye stress kama aliepata ajali ya kondomu kupasuka 😂

    Hivi bado kuna watu hawajui, ikitokea ume uza mechi ukawa na mashaka nenda hospital chapu kabla ya masaa 72 kuisha kuna dawa una pewa ya kuzuia kabisa usipate shida.
  9. dump

    Akitoka Samia anaingia Mchengerwa 2030

    Baada ya Samia ni zamu yangu habari ndiyo hiyo hutaki kakojoe ulale.
  10. dump

    Mnasema mapenzi yanauma? Hivi umewahi poteza pesa ya mkopo ukaona maumivu yake?

    Mapenzi yanauma ukiwa kijana mdogo lakini ukifika 45+ hayaumi mm nawaza pesa zaidi.
  11. dump

    Huyu Dogo Zungu ajiangalie sana kauli zake

    Lakini alikosea kutukana matusi alitakiwa ajenge hoja, ujana mwingi
  12. dump

    Tunampa Bongo Zozo hadi Jumatatu aturudishie hela zetu

    Lakini hapo sioni kosa lake, mambo ya biashara yapo hivyo, kwenye ZAHABU mwezi ulio pita tu ZAHABU ili panda sana, halafu ikashuka ghafla, watu wame nunua kwa pesa nyingi Kisha ikashuka ghafla watu waka ugulia wenye mitaji mikubwa Waka hifadhi lakini unaga unga mwana wakauza kwa maumivu kwa hiyo...
Back
Top Bottom