Subutu, wakati tuna jipanga kuwa kamua boda na machinga ni matajiri sana, wazo lako ni zuli sana na hapo hata SS wa chini tunge amini kua nao ni wazalendo hivyo tunge lipa Kodi bila kinyingo, pia wangekua na uchungu wa kusimamia vilivyo Mali ya umma kwa kua na wao kuna jasho Lau, na sio wabunge...