Mm naona hii awamu hawa watu wame zidi kujiweka wazi sana, sisemi kwamba awamu zilizo pita hawa kuwepo lakini hii imezidi, Ukingia huko TikTok yapo mapunga mengi tena haya ogopi.
Hivi bado kuna watu hawajui, ikitokea ume uza mechi ukawa na mashaka nenda hospital chapu kabla ya masaa 72 kuisha kuna dawa una pewa ya kuzuia kabisa usipate shida.
Lakini hapo sioni kosa lake, mambo ya biashara yapo hivyo, kwenye ZAHABU mwezi ulio pita tu ZAHABU ili panda sana, halafu ikashuka ghafla, watu wame nunua kwa pesa nyingi Kisha ikashuka ghafla watu waka ugulia wenye mitaji mikubwa Waka hifadhi lakini unaga unga mwana wakauza kwa maumivu kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.