Recent content by dump

  1. dump

    JamiiForums Tanzania BARUA ZINATEMBEA HAPA OFSINI SIO POA, NIOMBEENI, BOSS ANADAI HALI MBAYA, SINA RAHA KABISA, SIKIENI TU, OMBENI YASIWAPATE

    Nime cheka miaka mitano nilikua kama wewe badae nika amaua kijiali njoo tupambane uraiani mkuu.
  2. dump

    JamiiForums Tanzania Haya sasa kimenuka kiwanda cha kusafishq mafuta kujengwa Mombasa sio Tanga mapendekezo ya aliko dangote

    Wewe hujaona mwisho DW.swahili au huoni nenda kwenye ukurasa wa DW.swahili utaona.
  3. dump

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Maafisa wa Wilaya ya Ikungi (Singida) wanafunga biashara zetu na kututishia

    Tena pale ikungi kuna ofisi ya ccm watu wana jaa vibaya sana, siku moja nili jaribu kumu elewesha mama 1 hivi wa makamo akawa mbogo hata salamu tu ikawa shida.
  4. dump

    JamiiForums Tanzania KERO Kwanini TASAC inaendelea kuchukua Tsh 3/= kwa kila lita ya mafuta yanayoingia wakati ilishapokonywa mamlaka ya kuwa Clearing and Fowarding Agency?

    Haya mambo ya mafuta kwenye kazi zangu yame niumiza sana yaani basi tu, nikiona wabunge na mawaziri hawa lipi Kodi naumia sana, sisi wa chini huku ndiyo tuna kamuliwa hasa, bidhaa hiyo hiyo moja una weza kulipia mara 3 kabisa. Serikali wame shindwa kutoa ruzuku kwenye mafuta ili kupunguza...
  5. dump

    JamiiForums Tanzania Kwani South Africa kuna maisha mazuri?

    Najua ina itwa tz lakini c.c.m ndiyo wana ongoza tangu inchi ipate uhuru. Wewe una elewa nini ukisikia mafisadi wana takiwa watajwe tu ili waone aibu?
  6. dump

    JamiiForums Tanzania Kwani South Africa kuna maisha mazuri?

    Sahau kuiboresha hii inchi chini ya c.c.m naludia SAHAU.
  7. dump

    JamiiForums Tanzania Idadi rasmi ya vifo ni 800?

    Haya mambo achaneni nayo, kabisa sana inchi yetu ina umizwa na wachache walio jimilikisha, mm binasifi kwenye kazi yangu sija wahi kukwepa Kodi, lakini nina umia sana ninapo ona Kodi yangu hakuna mtu ana ilinda ili ijenge inchi badala yake ina liwa tu na baadhi ya wajanja. Rejea ripoti ya s.a.g...
  8. dump

    JamiiForums Tanzania Idadi rasmi ya vifo ni 800?

    Kwa mawazo yangu wasinge fanya hayo mambo ya tume Wala nini, kwa sababu watu wa karine hii yio wajinga tena, kila kitu wana jua ni Bora watulie mda wake uishe, aje mwingine lakini kufanya hivyo ni kutonesha vidonda tu.
  9. dump

    JamiiForums Tanzania Eric Shigongo: Tujenge Uchumi wa kujitegemea kwa kuongeza walipa kodi

    Haya mambo ya kulipa Kodi iwe kwa wote wakiwemo na viongozi kuanzia rais na wabunge na mawaziri wote ili wote tujenge inchi kwa pamoja sio watu wa chini tu halafu wengine hawa husiki.
  10. dump

    JamiiForums Tanzania Prophet IPM anahubiri injili gani?

    Kuna huyu wa kujiita nabii shilla yupo wapi kwa sasa hawa jamaa wana ujinga sana.
  11. dump

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Hakikisha una piga shoo kwa mkao wa dog au mbuzi kagoma kwenda hapo lazima mtoto wa kiume mkuu.
  12. dump

    JamiiForums Tanzania Kifo cha Athumani Nyanza kinasikisha lkn kiwe funzo kwa vijana wa kiislamu

    Kumbe hiyo shetwani rajimu wana maanisha shetani huyu huyu wa ukweli.
  13. dump

    JamiiForums Tanzania Je, Dkt. Dorothy Gwajima ataiweza vita dhidi ya ushoga?

    Mm naona hii awamu hawa watu wame zidi kujiweka wazi sana, sisemi kwamba awamu zilizo pita hawa kuwepo lakini hii imezidi, Ukingia huko TikTok yapo mapunga mengi tena haya ogopi.
  14. dump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna mwanaume mwenye stress kama aliepata ajali ya kondomu kupasuka 😂

    Hivi bado kuna watu hawajui, ikitokea ume uza mechi ukawa na mashaka nenda hospital chapu kabla ya masaa 72 kuisha kuna dawa una pewa ya kuzuia kabisa usipate shida.
Back
Top Bottom