Recent content by dump

  1. dump

    JamiiForums Tanzania Al Badir ni utapeli. Kwanini msimsomee Netanyahu

    Ume jiongezaje mwanetu
  2. dump

    JamiiForums Tanzania Kampeni ya kumtafuta Humphrey Polepole Nyumba kwa Nyumba

    Nipe namba zao mkuu
  3. dump

    JamiiForums Tanzania KAHAMA NI MJI WA HOVYO SANA.

    Kwa nini useme ni washamba tuanzie hapo, kuhusu kujenga miundo mbinu ya Barabara ni kazi ya wana inchi au serikali? Una sema mji una Nuka ni kweli, huko kwenu Dara hapa nuki? Acha uboya mshamba mk
  4. dump

    JamiiForums Tanzania Kumbe Kuna Hadi Kodi ya basata kwenye biashara aina ya pub?

    Kuhusu Kodi ni wajibu wetu kulipa, maana hata huko mambele wana lipa sana tu, tatizo la inchi yetu tuna kamliwa hasa lakini c.a.g akitoka report yake haifanyiwi kazi, ni Bora hata hicho kitengo kiondolewe maana sioni umuhimu wake kabisa.
  5. dump

    JamiiForums Tanzania Usiseme hakuna hela, sema huna hela

    Aiseeee wewe acha nipo huko kwenye madini kuna jamaa ana prant 30 na makongorosi anazo 30 na nime Kuta sehemu ana Jenga maabara ya kupima kiwango cha madini kwenye madini na miamba nilichoka kabisa kabisa.
  6. dump

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Mm nipo msasa nitafika hapo kesho utakuwepo.
  7. dump

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Leo nataka nikukamate uongo wako, sema upo ushirombo sehemu gani? Maana wewe unakuga na hadidhi nyingi za kutembea kila pande Dunia.
  8. dump

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kifahari Kwenye Magari ya Umma, Huku Familia Ikisugua Benchi

    Labda alikua ana mnyanyasa kwa hiyo alikua ana omba Mungu siku moja jamaa atumbuliwe.
  9. dump

    JamiiForums Tanzania Miaka 40 sina nachomiliki zaidi ya smart phone

    Huyo ana subilia bahati ya wazazi wake waende mbinguni ili apate urithi.
  10. dump

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, tumbo langu hujaa gesi na kupatwa kilungulila (heartburn)

    Kama upo dar tafta watu wanao uza mwani uta nishukulu, kama uta kosa zama mitandaoni uta wapata bei ni 20,000 elf tu.
  11. dump

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Walokole ni kero kwenye nyumba za kupanga, wanapiga makelele sana. Ni janga kwa Taifa

    Wewe ndiyo mjinga wa kiwango cha lami, ulitakiwa umuelekeze kirafiki sio kama ulivyo fanya, usi mzarau mtu kabisa hata siku moja una weza kupata shida huyo huyo jirani yako aka kusaidia pia hujui yeye ana nini.
  12. dump

    JamiiForums Tanzania Mtumishi ukishindwa kuyaishi uliyokuwa unafundisha ni heri kukaa kimya kuliko kuanza kuyapotosha mwenyewe

    Kwanza huyo dada ni tapeli sana, kuna mwaka wa nyuma ali umbuka, wakati ana muombea dada frani hivi, ali sikika aki mwambia muo mbewaji piga kelele, kweli yule dada waku ombewa akapiga kelele nime sahau tu mwaka, kama kuna mtu ana kumbuka aje aseme.
  13. dump

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Hii nayo ni Kali sana, umeme kukata inchi nzima niabu kubwa sana hii.
  14. dump

    JamiiForums Tanzania Boss wa mke wangu ana moyo wa utu sana

    Au sio, nipe namba ya mke wako na mm nimchangie kidogo hela Kodi.
  15. dump

    JamiiForums Tanzania Sauti ya kitaa

    Subutu, wakati tuna jipanga kuwa kamua boda na machinga ni matajiri sana, wazo lako ni zuli sana na hapo hata SS wa chini tunge amini kua nao ni wazalendo hivyo tunge lipa Kodi bila kinyingo, pia wangekua na uchungu wa kusimamia vilivyo Mali ya umma kwa kua na wao kuna jasho Lau, na sio wabunge...
Back
Top Bottom