Recent content by dump

  1. dump

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Mm nipo msasa nitafika hapo kesho utakuwepo.
  2. dump

    JamiiForums Tanzania Toeni mishahara hawa walimu mtawauwa Wana hali mbaya vibaya mno

    Leo nataka nikukamate uongo wako, sema upo ushirombo sehemu gani? Maana wewe unakuga na hadidhi nyingi za kutembea kila pande Dunia.
  3. dump

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Kifahari Kwenye Magari ya Umma, Huku Familia Ikisugua Benchi

    Labda alikua ana mnyanyasa kwa hiyo alikua ana omba Mungu siku moja jamaa atumbuliwe.
  4. dump

    JamiiForums Tanzania Miaka 40 sina nachomiliki zaidi ya smart phone

    Huyo ana subilia bahati ya wazazi wake waende mbinguni ili apate urithi.
  5. dump

    JamiiForums Tanzania Nisaidieni, tumbo langu hujaa gesi na kupatwa kilungulila (heartburn)

    Kama upo dar tafta watu wanao uza mwani uta nishukulu, kama uta kosa zama mitandaoni uta wapata bei ni 20,000 elf tu.
  6. dump

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya Walokole ni kero kwenye nyumba za kupanga, wanapiga makelele sana. Ni janga kwa Taifa

    Wewe ndiyo mjinga wa kiwango cha lami, ulitakiwa umuelekeze kirafiki sio kama ulivyo fanya, usi mzarau mtu kabisa hata siku moja una weza kupata shida huyo huyo jirani yako aka kusaidia pia hujui yeye ana nini.
  7. dump

    JamiiForums Tanzania Mtumishi ukishindwa kuyaishi uliyokuwa unafundisha ni heri kukaa kimya kuliko kuanza kuyapotosha mwenyewe

    Kwanza huyo dada ni tapeli sana, kuna mwaka wa nyuma ali umbuka, wakati ana muombea dada frani hivi, ali sikika aki mwambia muo mbewaji piga kelele, kweli yule dada waku ombewa akapiga kelele nime sahau tu mwaka, kama kuna mtu ana kumbuka aje aseme.
  8. dump

    JamiiForums Tanzania TANESCO: Gridi ya Taifa yapata hitilafu. Umeme wakatika nchi nzima - Juni 27, 2026

    Hii nayo ni Kali sana, umeme kukata inchi nzima niabu kubwa sana hii.
  9. dump

    JamiiForums Tanzania Boss wa mke wangu ana moyo wa utu sana

    Au sio, nipe namba ya mke wako na mm nimchangie kidogo hela Kodi.
  10. dump

    JamiiForums Tanzania Sauti ya kitaa

    Subutu, wakati tuna jipanga kuwa kamua boda na machinga ni matajiri sana, wazo lako ni zuli sana na hapo hata SS wa chini tunge amini kua nao ni wazalendo hivyo tunge lipa Kodi bila kinyingo, pia wangekua na uchungu wa kusimamia vilivyo Mali ya umma kwa kua na wao kuna jasho Lau, na sio wabunge...
  11. dump

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Hizi Mita za maji Kata ya Nyampande - Sengerema (Mwanza) mje mzichukue tu hazina faida

    Ume nikumbusha mbali sana hapo nyampande nili wahi pata pint 🤣🤣🤣
  12. dump

    JamiiForums Tanzania Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) Kutangaza Panga la waajiriwa

    Naomba Mungu tu scoller kisanga asiwemu nampendaga sana muchaga wangu.
  13. dump

    JamiiForums Tanzania Mlioko kwenye ndoa mnanizidi nini katika mazingira haya!

    Kama unaona kuowa hakuna maana olewa wewe sasa ili siku ukiugua mmeo akuuguze akufulie na boxer zako🤣🤣🤣
  14. dump

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Mbona povu kwani wewe ni mjita au?
  15. dump

    JamiiForums Tanzania Rais wetu Dr.Samia anafanya mambo mazito kweli huku St.Petersburg

    Kwenye Rais wenu mm nitoe kabisa sitaki.
Back
Top Bottom