Tena pale ikungi kuna ofisi ya ccm watu wana jaa vibaya sana, siku moja nili jaribu kumu elewesha mama 1 hivi wa makamo akawa mbogo hata salamu tu ikawa shida.
Haya mambo ya mafuta kwenye kazi zangu yame niumiza sana yaani basi tu, nikiona wabunge na mawaziri hawa lipi Kodi naumia sana, sisi wa chini huku ndiyo tuna kamuliwa hasa, bidhaa hiyo hiyo moja una weza kulipia mara 3 kabisa.
Serikali wame shindwa kutoa ruzuku kwenye mafuta ili kupunguza...
Haya mambo achaneni nayo, kabisa sana inchi yetu ina umizwa na wachache walio jimilikisha, mm binasifi kwenye kazi yangu sija wahi kukwepa Kodi, lakini nina umia sana ninapo ona Kodi yangu hakuna mtu ana ilinda ili ijenge inchi badala yake ina liwa tu na baadhi ya wajanja.
Rejea ripoti ya s.a.g...
Kwa mawazo yangu wasinge fanya hayo mambo ya tume Wala nini, kwa sababu watu wa karine hii yio wajinga tena, kila kitu wana jua ni Bora watulie mda wake uishe, aje mwingine lakini kufanya hivyo ni kutonesha vidonda tu.
Haya mambo ya kulipa Kodi iwe kwa wote wakiwemo na viongozi kuanzia rais na wabunge na mawaziri wote ili wote tujenge inchi kwa pamoja sio watu wa chini tu halafu wengine hawa husiki.
Mm naona hii awamu hawa watu wame zidi kujiweka wazi sana, sisemi kwamba awamu zilizo pita hawa kuwepo lakini hii imezidi, Ukingia huko TikTok yapo mapunga mengi tena haya ogopi.
Hivi bado kuna watu hawajui, ikitokea ume uza mechi ukawa na mashaka nenda hospital chapu kabla ya masaa 72 kuisha kuna dawa una pewa ya kuzuia kabisa usipate shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.