Recent content by Dummy1

  1. D

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge nchini wasajili wageni wote kwa kutumia kitambulisho cha NIDA

    Sasa raia wa nchi nyingine hawaruhusiwi kutumia izo huduma?
  2. D

    JamiiForums Tanzania Ufanyike mpango ili tuwe tunajisajili na mitandao yetu kwa kutumia IDs za NIDA.

    Waovu wanafanya matendo yapi mkuu?
  3. D

    JamiiForums Tanzania Kama wewe ungekuwa Rais, ungeanzisha megaprojects gani kutatua shida ya maji kwa mamilioni ya watu wako ndani ya miaka 5 tu?

    Ningerestructure taasisi zote za maji ziwe chini ya taasisi moja. Miradi yote ya maji iwe centralised ili iwe rahisi kua na national water grid kama ilivyo kwa umeme
  4. D

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa UVCCM anasema vijana walichoma zahanati wakakosa huduma ya kwanza na kusababisha kupoteza maisha kwa makosa yao

    Vipimo viwe kwa level ya nafasi za serikali. Wajinga acha wabaki ccm wasipimwe
  5. D

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa UVCCM anasema vijana walichoma zahanati wakakosa huduma ya kwanza na kusababisha kupoteza maisha kwa makosa yao

    Ataje zahanati zilizochomwa. Au atuambie kama vituo vya kupiga kura ndio zahanati zenyewe
  6. D

    JamiiForums Tanzania Leo ngoja nivisanue hivi vitoto va Gen Z

    Kwa ninanyojua mkuu hapo alitakiwa awe dismised kwa utoro kazini na sheria za kazi zipo wazi. Ila kama mlikua hamjampa mkataba wa kazi na alikua anajitolea bado alikua na grounds za kuondoka.
  7. D

    JamiiForums Tanzania Kufumania, wivu wa mapenzi na drama kama hizo ni ushamba wa karne ya 21

    Cha msingi usife kwaajili ya mtu asiekuthamini. Pia ukijua unaelekeza nguvu kwingine
  8. D

    JamiiForums Tanzania Leo ngoja nivisanue hivi vitoto va Gen Z

    Kwa namba 11 kidogo kuna changamoto mkuu. Angekuambia anaenda kwenye interview Dodoma either ungemfukuza, kumzuia asiende. Japo alivyopata alipaswa akuambie kwamba amepata kazi kwengine. Changamoto nyingine unaweza kuta alipopaswa kwenda alihitajika asap ikabidi asiachie fursa
  9. D

    JamiiForums Tanzania Serikali ipitishe tu lazima kila raia mwenye NIDA awe na bima ya NHIF

    Kuna makampuni mangapi ya bima mpaka ulazimishe NHIF. Angalau useme raia awe na bima ndogo kama ilivyo kwa third party kwenye magari
  10. D

    JamiiForums Tanzania Mr Nice guys are not husband material

    Inawezekana you met a guy "nice guy". Who you wanted to get alot from in terms of attention and the like, a sacrifice kwaajili yako including financially ila akawa na priorities zilizokufanya uone anakua influenced na wazazi wake. Maybe you thought sex would do the trick akusikilize ila mwisho...
  11. D

    JamiiForums Tanzania Alinidanganya kaenda Dodoma kumbe yupo Dar, anataka nimtumie nauli

    Ukweli ni uongo ni mwingi sana
  12. D

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kitendo cha Heche kusema akiingia madarakani anafungia betting kimenitia hasira, Oktoba kura yangu kwa CCM

    Hajasema anafungia betting. Amesema wataweka mazingira ambayo vijana hawatakua na haja ya kutegemea betting. Mtoa mada hukuelewa alichomaaanisha
  13. D

    JamiiForums Tanzania Kuwa na mahusiano na Wanawake wasio na pesa ni tabu sana

    Maskini hana aibu 🤣🤣🤣
Back
Top Bottom