Ifm ndio lakini hao cbe si walitangaza kaz septemba mwaka huu na maombi unatuma kwa rector wa cbe wala hawakupitia utumish labda za huko nyuma
Yes kiac flan kutoa majina ni vizur ,ila vyuo vingi wakiajiri wenyewe hawatoi majina wanapiga simu au msg
Wiki mbili mbona chache watu wanakaa mwez lknInategemea na sababu zingine zinazozuia hio barua isitoke utakuta sehem nyingine kama serikalin its a long process ivo inabd usubiri ,barua ya kuchukua mafao inatakiwa itoke immediately baada ya barua ya kukurelease
unazani watu wanaendaga...
Habarini humu ndani,kwakweli tanesco mkoani morogoro mjini mnakera sana wananchi ,mnakata umeme asubuhi mnarudisha saa 6 usiku alaf ikifika saa 12 asbh mnakata tena . mnarudisha tukiwa tumelala unatusaidia nini sasa,leo jmoc weekend mmeukata mapema sa 12 asubuh na wakati jana sa 6 usiku ndio...
Mnaandika majina tena na sio namba mbona wana mambo ya kizamani hivo hao waige sekretariet ni mwendo wa namba hata akiwa anamark paper hajui ni nani inaepusha kujuana kwa kiac flan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.