Recent content by dume30

  1. dume30

    Nina ugonjwa wa Hyperthyroidism. Professor wa Urology aliniandikia Tadalafil 5Mg lakini hazijasaidia

    Pole sana mdau ! Mimi naweza kukushauri pia machache ! 1. Rudi kwa urologist wako mpe kinachoendelea anaweza kukubadilishia dawa na kukupa ushauri mzuri zaidi. 2. Kuhusu ilo tatizo jengine lenye jina gumu nenda hospitali kubwa kapata uchunguzi upya upate tiba sahihi. 3. Kwa urefu wako hizo...
  2. dume30

    Nina changamoto kwenye Koo langu nikiwa Nina meza mate Kuna Kama utando kwenye Koo

    Sahau kuhusu comment zote nenda kamuone Dr wa kinywa,koo na masikio utapata tiba Hizi mbanga za kunyonyana Fanya kama hujaziona Pole sana ,utapata tiba
  3. dume30

    TOYOTA PORTE FOR SALE ,PRICE 5.5 MIL

    Hello , Nauza Toyota porte Bei ni Milioni 5.5 Sio dalali ni mmiliki so tunaweza zungumza kidogo kwenye bei Location : DSM Msongola Colour : Silver Engine size : 1450 cc Reg : DES Engine ,gear box,Ac vyote vizima
  4. dume30

    App / Link ya kuicheki game online

    Nipo chaka kishenzi Leo Natamani kuiangalia
  5. dume30

    App / Link ya kuicheki game online

    Soon ,nne kamili
  6. dume30

    App / Link ya kuicheki game online

    Game ya Simba na Rs Bark
  7. dume30

    App / Link ya kuicheki game online

    Wakulungwa naomba msaada tajwa hapo juu tafadhali
  8. dume30

    Car4Sale Gari Daihatsu Terios Kid inauzwa

    Gari ni ipi pikipiki ni ipi hapo?
  9. dume30

    Je wajua Dini ya Uislamu ni zaidi ya sayansi?

    Habari zenu za anga saba (mbingu saba ni porojo?
  10. dume30

    Je wajua Dini ya Uislamu ni zaidi ya sayansi?

    Unanipinga au unachangia hoja? Soma vizuri nilichoandika,Siungani nae napingana nae kuhusu hoja yake
  11. dume30

    Mwanaume kama huyu unaishije nae?

    Kwamba mwanaume wako anajifanya ni Google?
  12. dume30

    Je wajua Dini ya Uislamu ni zaidi ya sayansi?

    The Quran mentioned the seven layers of the atmosphere before this was known. "Surah 2:29" lakini huu ni uongo ukweli ni kua Kuna layer saba za atmosphere Scientific facts za kubumba
  13. dume30

    Je wajua Dini ya Uislamu ni zaidi ya sayansi?

    Sayansi Gani ? Mambo wanayoeleza kuhusu Quran kuhusu namna mimba itungwavyo na ukuaji wa mimba viliezwa miaka mingi kabla ya Quran na kina Aristotle,Gallen na Hippocrates Sema wao wanamezeshwa kua "KURAN" ilivielezea kabla ya wanasayansi na watu wengine kuelezea,Pure Lie
  14. dume30

    Je wajua Dini ya Uislamu ni zaidi ya sayansi?

    Sayansi ya jua kuzama matopeni?
Back
Top Bottom