Watu wa kigoma ni wehu sana nipo mkoa wao unatakiwa uwe na roho ngumu kuishi nao.na wao usafiri wao mkubwa ni treni bila treni hawasafiri na treni likifika nguruka,uvinza,kazulamimba hadi kigoma town litapigwa mawe kama limewakosea vile sasa ole wako uache dirisha wazi lazima wakuumize kwa mawe...
Huko mnakoenda kufanya mikutano yenu watawanyea maana kama songe,iringa,njombe ni ngome za chadema na zitto huko tangu yupo chadema hana ushawishi ktk mikoa hiyo
Wakuu kwanza mimi mgeni ktk jukwaa hili.naomba msada wa katiba ya chama cha ACT tanzania maana nipo huku kigoma nimejalibu kumwomba katibu mwenezi mkoa anaitwa juma ananiletea story tu na anakuwa na kigugumizi atoe jibu.msada wenu waku pia na mali alizosema kiongozi mkuu wa cha ataziweka wazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.