Recent content by DUME LA NGEDELE

  1. D

    Ziara za ACT - Wazalendo kutikisa nchi

    Sura za kiha zote hizo tupia sura za mikoa mingine
  2. D

    Mungano wa UKAWA - Kazi Imeanza

    Ukawa Mungu wasimamie zidi ya maccm na vibalaka vyao
  3. D

    Abiria Wafanya uharibifu Treni Mpya (Delux)

    Watu wa kigoma ni wehu sana nipo mkoa wao unatakiwa uwe na roho ngumu kuishi nao.na wao usafiri wao mkubwa ni treni bila treni hawasafiri na treni likifika nguruka,uvinza,kazulamimba hadi kigoma town litapigwa mawe kama limewakosea vile sasa ole wako uache dirisha wazi lazima wakuumize kwa mawe...
  4. D

    Ratiba ya ziara ya ACT Wazalendo, ziara ya kufyeka msitu

    Huko mnakoenda kufanya mikutano yenu watawanyea maana kama songe,iringa,njombe ni ngome za chadema na zitto huko tangu yupo chadema hana ushawishi ktk mikoa hiyo
  5. D

    Treni ya kisasa (Delux), kwenda Bara yenye mabehewa 22 imeanza safari kwenda Kigoma

    Chezea waha wewe wamealibu tayali lock ya kitanda kimoja na jana mitaa ya uvinza limerushiwa mawe
  6. D

    Waliomaliza "Mikumi Secondary" Tujuane Hapa

    Vp na wewe ulimaliza pale maana wanafunzi wa mikumi wengi walikuwa vilaza sana vp wewe uliponaga kupata zero
  7. D

    Zitto Akiri Bado Anaipenda CHADEMA Japo Wamemfukuza

    Anapotezwa na wazee wa mwandika wanaomtumia zitto kuendesha maisha
  8. D

    ACT-Tanzania yapitisha Katiba (Soma Katiba ya ACT hapa)

    Wakuu kwanza mimi mgeni ktk jukwaa hili.naomba msada wa katiba ya chama cha ACT tanzania maana nipo huku kigoma nimejalibu kumwomba katibu mwenezi mkoa anaitwa juma ananiletea story tu na anakuwa na kigugumizi atoe jibu.msada wenu waku pia na mali alizosema kiongozi mkuu wa cha ataziweka wazi...
Back
Top Bottom