Recent content by Dume kongwe

  1. Dume kongwe

    JamiiForums Tanzania Vituo vya mafuta vyenye wafanyakazi wezi!!

    Katika sehemu zinazofanyika wizi mkubwa kwa wateja ni kwenye vituo vya mafuta, kuna muda unaona hivi hivi unaibiwa ila ama unaamua kuepusha shari ama unapotezea. Zipo sehemu zenye wafanyakazi waadilifu lakini sehemu nyingi wizi umeshamiri kupita kiasi, mbaya zaidi ukiibiwa wewe ukisema pale...
  2. Dume kongwe

    JamiiForums Tanzania Michano/Hiphop/Freestyle

    Leteni michano vijana, naokoteza mistari yenu na kwenda studio sasa albam haijatimia na humu hamuendelei tena
  3. Dume kongwe

    JamiiForums Tanzania Nitoe Corolla XE 111 anipe Funcargo?

    Shukran mkuu
  4. Dume kongwe

    JamiiForums Tanzania Nitoe Corolla XE 111 anipe Funcargo?

    Habari Nina Corolla XE 111 ambayo ipo sawa safari popote na haijawahi kuniweka njiani nashukuru katika safari zangu za Tanga to Dar. Hii ina 4E engine Cc 1330. Nataka walau kusogea sogea kidogo hivyo kuna jamaa ana Funcargo tumeafikiana nimuongeze na M1 ila bado sijafanya maamuzi nikaona nije...
Back
Top Bottom