Kwa wale ambao ni mawakala wa Selcom Paypoint tumekumbwa na wizi wa mchana unaofanywa na kampuni hiyo kwa kushirikina kampuni ya TIGO bila kupatiwa ufafanuzi wowote.
Nini kimetokea?
Awali ilikuwa unapata asilimia 2.5 kwa wakala anayeuza umeme kupitia Selcom Paypoint hii ikimaanisha kwamba...
Poleni sana mliokuwa mnaitegemea Dullonet katika kipindi hiki cha Bunge, lakini kutokana na matatizo yaliyo nje ya uwezo wetu hatujaweza kuweka live kwa siku hizi tatu, lakini tuko katika mchakato wa kurudisha huduma hiyo na mungu akipenda wiki ijayo mambo yote yatakuwa safi na tutawahabarisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.