Swali:.je endapo bei ya vitu ikabaki vilevile lakini upatikanaji wa hela ukawa mgumu kupelekea watu kushindwa kuvinunua hizo bidhaa kwa bei ile ile??
Je,hilo nalo litahesabiwa kama mfumuko wa bei(inflation)??
Navyosikia kama ww umechaguliwa Ud ujaona jina lako kweny hyo list ya mikopo nd usahau mayb watakufikiria round ya
3..lot inayofuata ni ya vyuo vingne.
Ni ya kwel hayo wadau??
-Kati ya hizo program mbili ipi yenye wigo mpana kwenye kusoma?
-Ipi yenye wigo mpana kwenye ajira na kujiajiri?
-Ipi ni ngumu na ipi ni rahisi?
Mawazo yenu wadau bila kuangalia inatolewa kwenye chuo gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.