Recent content by DSpecial

  1. DSpecial

    Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

    Madogo wana date sana, kwenye vchaka mpaka chuo kimestukia dili
  2. DSpecial

    Uongozi wa UDSM watoa angalizo uwepo wa CHATU maeneo ya Shule ya Msingi Mlimani

    Hahaha Hahaha Hahaha!!!! Yaani ni mishale ya saa 02:43 usiku mida hii, nimecheka hatari hadi watu wengine wameamka dadeki
  3. DSpecial

    Sijavutiwa na Toyota Harrier a.k.a Tako la Nyani

    Mkuu unatumia usafiri wa aina gani wewe?
  4. DSpecial

    Hivi kwanini nchi za Afrika haziruhusiwi kujiunga na NATO, sasa vita ya WW3 itakuwaje au kuna African Union army?

    Wakuu endeleeni kuchangia basi Thread hiyo, tuendelee kupata burdan....
  5. DSpecial

    GE2020 Tundu Lissu: Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni

    Hahahahahaha.......this is JAMII FORUMS....where we dare to talk openly.....
  6. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Zao kuu la biashara hapa bongo hivi lipi?
  7. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Tofauti kubwa ya matabaka haya ni makabila
  8. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mtukutu siku zote ni changamoto sana katika jamii
  9. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Refa akiwa mpendeleaji, uwana mzima mashabiki wata leta fujo
  10. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mkuu vurugu uanzishe wewe tu ndugu yangu
  11. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Upara tu!!! Hiyo hiyo inaitwa Hikmah, ndio maana wanatunukiwa Bin Adam wachache sana. Vipara ndio hivyo vinavyo tengeneza kwenye masaloon huko
  12. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Mambo ya kujifukiza hayo, hata Muheshmiwa Jafo analitambua hilo
  13. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Kama sikosei huyu dada si ndio alieimba chura? Si ni kweli?
  14. DSpecial

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    Korona!!! Mbongo halisi hadhuriwi na korona, chezea nyungu wewe
  15. DSpecial

    Naomba ufafanuzi kuhusu Ku upgrade Gari kwa kuchongesha kwa mafundi mtaani

    Dah!! Mnatunyanyasa jamani, tuombe radhi ndugu yangu, Watu ndio shida sana hapa duniani, Bin adam hatupo ivyo
Back
Top Bottom