hiyo noma lakini hujasema kama mshikaji kaoa au vipi,kama ana mke tayari hiyo noma namshauri amueleze mkewe ukweli kama anae halafu aende akatubu kwa mwenyezi Mungu,amshauri huyu baa medi nae amrudie mwenyezi Mungu azae jamaa alee kiumbe,kama hajaoa hiyo bahati achukue aweke ndani lakini afunge...