Recent content by DryGin

  1. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je nitapata wa kufanana nae?

    Uzuri wa maisha kila mtu anayafanya anavoona sawa kwake.
  2. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je nitapata wa kufanana nae?

    Sitaki kudanganya mtu. Ni vizuri mtu anijue mapema. Tumeona hapa jukwaani kesi nyingi wanaume wakilalamika kunyimwa unyumba na wake zao. 1
  3. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je nitapata wa kufanana nae?

    Habari wanajukwaa! Mimi naamini mapenzi ya kweli hutakiwi kutumia nguvu nyingi kuyapata, ila pia naamini mapenzi ya kweli ni kupata wa kufanana nae ili usiwe unajieleza sana kwake. Kwa umri wangu huu wa makamo bado natafuta mtu wa namna hiyo. Mtu ambae tunaendana, na ni sawa kwangu kama...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Nahamishaje sexual energy kwenda kuwa mafanikio au business delevopment energy?

    Kitendo cha kuanza kugundua tu kuwa mwenendo wako sio mzuri ni mwanzo mzuri. Ila pili jaribu kumshirikisha rafiki yako wa karibu(rafiki anayekupa makavu live), ambae anaweza kuwa anakushauri unapotaka kufanya maamuzi yasiyo na faida.
Back
Top Bottom