Recent content by DryEyes

  1. DryEyes

    JamiiForums Tanzania Je, maisha ya wahadzabe ni sifa au aibu kwa nchi?

    Mimi binafsi sioni shida yoyote mtu kuishi maisha yake ya asili lakini sisi tuliokataa asili zetu na kubadilika kujiona tupo civilized ndo tunapaswa kuona aibu kwa kung'ang'ania mila za watu weupe. Watu wanaoishi maisha kama hayo Duniani hawapo Tanzania tu wapo nchi nyingi hata huko West wapo...
  2. DryEyes

    JamiiForums Tanzania Binadamu ameumbiwa kukumbuka, basi, tusijisahaulishe na kujitoa ufahamu!

    What are you saying? Maana haueleweki unatafuta utofauti au kitu gani kwa sababu kipindi unachozungumzia watu walikufa ni kweli na kipindi hiki watu wanakufa.
  3. DryEyes

    JamiiForums Tanzania Nakujuza, Kuanzia 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa Wasukuma

    Huyu mnyamwezi ukimchunguza vizuri nae ni msukuma tu😀😀😀
  4. DryEyes

    JamiiForums Tanzania Nakujuza, Kuanzia 2030 nusu au zaidi ya Watanzania watakuwa Wasukuma

    Kuna watu wanapenda ubishi bila kuelewa. Mtoa mada kaelezea vizuri kile alichokiona na kukifanyia utafiti na bado watu wanabisha bila tafiti yoyote lakini ukweli ni kwamba katika hii nchi yetu hakuna kabila lenye idadi kubwa ya watu kama wasukuma(ukibisha wewe bisha tu) ukiachana na kusambaa...
  5. DryEyes

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hili ni janga la Kitaifa kwa Mabinti waliopo kwenye Ndoa!

    Kwa mtazamo wangu wakishamba naona mwanamke kuombwa laini 2 ni dharau na kushushwa thamani. Unafikiri mwanaume anaekula tigo anamchukuliaje mwanamke anayemla tigo? "Me nawaona kama uchafu" japo hatuna haki kuwajudge
  6. DryEyes

    JamiiForums Tanzania Mama wa Rayvany anauza mbogamboga na Mama wa Martha anauza Juice. Maisha ya wasanii ni magumu sana

    Inawezakana wanatunzwa vizuri lakini sisi wenye mama zetu wanyakyusa tunawajua ni watata na wanapenda kujishughulisha ata kama anapata kila kitu na ukimforce aache shughuli zake atakwambia usiletee tena vipesa vyako yaan wana jeuri sijui ya dunia gani
  7. DryEyes

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

    Tatizo wananchi hawana imani na serikali pamoja na wafanyakazi wake. TUMEPOTEZA AMANI.✍🏿
  8. DryEyes

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakina Dada/ Wanawake ni vitu gani huwa mnaviangalia haraka mnapokutana na Wanamume?

    Hapo unakuwa umekubali muonekano sasa unaingia hatua ya kuthibitisha kama "KAZINI KUNA KAZI?"😂😂 Mwanaume kazi sio sura😆
  9. DryEyes

    JamiiForums Tanzania Mjengo mpya wa Nandy na Bilinass

    Lakini hii couple haijakuwa ya makiki sana so amini kwamba wamejenga dada😄
  10. DryEyes

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Safaricom Kenya yaomba ulinzi kwa Serikali. Ni baada ya Starlink kushusha bei hadi Tsh. 26,000/= kwa GB 50

    NAIPATAJE STARLINK HAPA TZ MKUU?
  11. DryEyes

    JamiiForums Tanzania Msaada: Niligundulika na tatizo la vidonda vya tumbo, dozi niliyopewa imeisha lakini sijapata nafuu

    Mkuu unazungumzia vidonda vya tumbo au umeielewa shida yangu?
Back
Top Bottom