Katika hali ya kushangaza, mtu mmoja aitwaye Chief Kiumbe aliwaomba wanafunzi wa UDSM wanaotoka kanda ya Ziwe (Ukerewe, Ujita na Musoma) kupitia kijana anayeitwa Nyangabi Maira, mwaka wa tatu, wakutane naye katika moja ya kumbi za starehe Sinza jumatano iliyopita. Baada ya kukutana na hawa...
Kati hali ya kushangaza, hawa viongozi wa zamani wa wizara ya nishati na madini wanagawa fedha nyingi tena mamilioni ili watetewe kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii. Nikiwa mmoja wa watu ambao wameshawishiwa nafedha nyingi, nathibitsha kwamba hawa watu bila kuwakamata, nchi...
Ni muda tumetoka kumlaki rais Kikwete pale JKIA. Katibu mkuu wizara ya nishati na madini, Eliakim Maswi, alijiamini vya kutosha kwamba hakuna atakalofanywa na ndio maana alikuja kumuunga mkono Mh. Rais, na ikitokea kufukuzwa, basi hakuna atakayesalimika. Wezi wakuu ambao hawajatajwa nao lazima...
Rais Jakaya Kikwete amekuiwa rasmi Chama Cha CCM kutokana na tabia yake ya kukumbatia wezi kama wakina Muhongo Mrema na Maswi. Hii kashfa imeiacha CCM uchi.
Hakuna mwananchi mwenye akili timamu atakeyeipigia tena kura CCM. Vyombo vya usalma navyo vimechoka. Wazalendo ndani ya hizi taasisi...
Kutokana na aibu inayoendelea ya IPTL na Escrow, Nchi wahisani wameamua kuzuilia misaada kwa Tanzania. Na ingawa kuna ushahidiwa kutosha kwamba fedha za umma zimechotwa na mafisadi, viongozi waandamizi wamegoma kujiuzulu na chama chao CCM kikiwakingia kifua.
Ni swala la fedhea kusema kweli...
Katika kikao cha ndani ya CCM, Waziri wa nishati Sospeter Muhongo amesema bayana kwamba hatishwi na wabaishwaji na kamwe hawezi kujiuzulu kutokana na chuki za mafisadi wanapigania vitalu vya gesi na kama atalazimika kujiuzulu siyo tu bunge litayumba,
bali ardhi ya Tanzania itatikisika, kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.