Recent content by Drs

  1. Drs

    Morogoro: Mwalimu Mstaafu atapeliwa milioni 60 za Mafao

    Pole sana mwalimu MUNGU atakusaidia mwombe Mt YudaTadei mtakatifu wa wenye mtatizo makubwa atakusaidia watakamatwa tu
  2. Drs

    Uchovu na usingizi siku moja baada ya ku-sex

    Acha uhuni kijana magonjwa ni mengi siku hizi
  3. Drs

    Mitego mahiri ya kunasa warembo

    Acha ujinga utakwa miwaya
  4. Drs

    Simama na Rais Magufuli kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo: Hatuwezi kuuza ardhi yetu vipande vipande kwa wageni

    Nafikiri tunawasheria je wanafanya nini? Ni vizuri wakaangalia kurekebisha na nchi ikafanya miradi mikubwa itakayoingiza fedha nyingi
  5. Drs

    Samsung S6 edge bei chee na bado mpya

    4.1k ipo cash mkuu.
  6. Drs

    Nauza maziwa ya ng'ombe fresh na mtindi kwa bei nafuu utaletewa popote pale ndani ya jiji la Dar es salaam.

    Mkuu naitaji lita 5 fresh na lita 5 mtindi napatikana pugu kajiungeni.
  7. Drs

    samsung galaxy note 4 used inauzwa

    Mkuu nakupigia skupati hewani, vp cm bado ipo? tufanye biashara.
  8. Drs

    IKULU: Rais Magufuli apokea ripoti ya uchunguzi wa mchanga wa madini. Amtaka Waziri Muhongo ajiuzulu

    Hapa umenena mkuu hongera kwa kuona mbali. Sent from my GT-S7580L using JamiiForums mobile app
  9. Drs

    Askofu Gwajima amwomba Spika kuahirisha Bunge kwa ajili ya msiba

    Nashukuru kwa darasa zuri ubarikiwe. Sasa mkuu ktk hiyo post mbona kichwa cha habari kipo tofauti na yaliyoandikwa umo ndani? na ndo maana nilitaka unisaidie kutofautisha hayo maneno mawili.
Back
Top Bottom