Recent content by drizzie_dj

  1. D

    Beno Ndulu: Haina tatizo deni la taifa kuongezeka, kuingiza bilioni 400 kwenye mzunguko

    Asa ww unashauri nn and what makes you say that Tanzania inaingia kwenye recession....????
  2. D

    Nape Nnauye kuongea na wana Mtama Jumamosi tarehe 8-4-2017

    Ujue Nape unazingua yashaisha saa hivi tuliza tu akili fanya mambo mengine ya msingi kusema ukweli hakutosaidia chotee tugange yajayo ndugu yanguuu.....!!!!
  3. D

    Mchawi hatari anayesumbua jiji la Mwanza.

    We umejuaje kama ni mchawi ongeza nyama utuaminishe..... Wahenga walisema "Waarabu wa pemba wajuana kwa vilembaa...." au na ww............!!!;);)
  4. D

    Prof. Kitila Mkumbo, umeanza kwa kuchemka

    Hujakosea wala nini.... Hata hivyo mbona kipaumbele chake ni kizuri tu cha muhimu kilimo by the way kama unayojua ndo backbone of our economy kama wewew unataka maji nunua Uhai;);););););):p:p
Back
Top Bottom