Recent content by DRIVE

  1. DRIVE

    Plot4Sale Nauza godown

    usiogope njoo tutazungumza figure isikutishe kuna watu wa valuer wapo pia
  2. DRIVE

    Plot4Sale Nauza godown

    ok sawa ahsante kwa ushirikiano pia
  3. DRIVE

    Plot4Sale Nauza godown

    Document iliyokua attached ina maelezo yote ndugu
  4. DRIVE

    Plot4Sale Nauza godown

    ok unahisi bei gani brother ili nisahihishe
  5. DRIVE

    Plot4Sale Nauza godown

    Habari wadau, Nauza godown. Lipo mkata handeni barabara kuu irudiyo msata/pwani Lipo kilometer 2 toka mkata stand Lipo meter 100 toka barabara kuu itokayo mkata kurudi pwani Maji yapo mpaka site, eneo lina ukubwa wa square meter 7200 limepimwa lina hatimiliki- tittle deed no 1 Eneo lina jengo...
  6. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    Nime ku pm mkuu
  7. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    Kweli kabisa unachokisema hiki
  8. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    Yes imagine wameenda hadi kufanya valuation wakasema ntapata 95 sasa subiri yake ndio haijulikan lini
  9. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    Ni kweli kaka sikua na issue sana ila nilipoamua kujenga godwn ndipo mambo yaka change ila nina kibiashara pia kiliyumba kidogo ila sasa kimeanza kaa sawa ndio maana nikasema hivi
  10. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    Naomba niku pm kiongozi
  11. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    Nimecheck bank naona wanakubali ila wanataka biashara ni sawa nina biashara ila transaction zake ziko chini sababu ya ujenzi issue ni bank pia jengo lipo mkoa jirani na dar nilipo
  12. DRIVE

    Nina shida na mkopo, dhamana ipo

    ..
  13. DRIVE

    Nina Virusi vya UKIMWI ila naogopa kumwambia mume wangu maana yeye yupo salama

    Unafikiri kwanini mpaka leo hajapata maambukizi wakati wewe ulishapata kitambo na unasex nae lakini hajapata mpaka sasa unaweza niambia sababu please ?
  14. DRIVE

    Mwenza bora anahitajika

    Kaandika upuuzi tu wanawake wengine hawanaga akili mmoja wapo ni huyu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom