Recent content by drink beer save water

  1. drink beer save water

    Umeshakutana na shida gani kwenye gari lako upewe suluhisho?

    Nangojea majibu ya hii kitu, mimi niko na Subaru Forestet 2008, tangu nije Dar inakula 6.8 - 7.2 km/L. Hizi foleni zinachangia huu ulaji? Ila nikiwa Moshi inafika mpaka 10.5 km/L
  2. drink beer save water

    Msaada: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

    Haina turbo, za turbo zinasumbua maana hazitumiki ipasavyo!!
  3. drink beer save water

    Msaada: Nichukue gari ipi kati ya hizi?

    Ishi na Subaru kaka, mimi nina ya 2008, mpaka leo haijanipa tabu, tangu 2021, nnachofanya ni service kwa wakati, na kutumia oil + filter genuine!!
  4. drink beer save water

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Mimi nna uzoefu na zote!! Subaru nmetumia ya 2008 Forester, iko vzuri sana na confortability iko juu kuliko Kluger, na nmeitumia kwa root za Dar to Moshi kila mwisho wa mwaka!! 14KM/L Ila kwa kazi chukua kluger maana utapata unafuu kwenye spares na service! Forester usipoweka Synthetic...
  5. drink beer save water

    Njoo nikupe elimu ya ujasiriamali hii

    Dah! Tusafirishe tuu...
  6. drink beer save water

    Njoo nikupe elimu ya ujasiriamali hii

    Kama mjasiriamali na mtaalamu wa huu ujuzi wa usindikaji wa vyakula, kwa miaka takribani kumi nimewasaidia watengenezaji wa wine na pombe kali kwa kuwapa formula kamili na rahisi za kutengeneza wine na pombe kali! Utapata formula ya kutengeneza wine kwa kutumia matunda mbalimbali: Ndizi...
  7. drink beer save water

    Ni aibu kubwa mwanafunzi awe na first class GPA chuoni abaki mtaani, hawa watu wabakizwe vyuoni, mtaani bila mitaji wanateseka sana

    Sio wote wanaopata hizo wako mtaani, baadhi yetu taasisi zikiweza kuona our potentials wakatukubali!
  8. drink beer save water

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Those who don't fake life, wakija tunawapa inspiration, ila tofaut na hapo, imeenda!![emoji2]
  9. drink beer save water

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Hii imeenda[emoji2][emoji2][emoji2] Huku pameshakua kama LinkedIn
  10. drink beer save water

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Hii iko Moshi....hapo ilkua kiangazi!! Kipind cha mvua ona picha hii
  11. drink beer save water

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Muajiriwa kaka......ila ndo hvo Mungu alijaalia kaz nlipata taasis inayolipa vizuri!!
  12. drink beer save water

    Uliondoka kwenu na kuhamia kwako ukiwa na umri gani?

    Just take your time, and you can do it....usiwe na presha
Back
Top Bottom