Habari wana JF......
Naomba msaada wa Majina ya Shule za Wasichana za Boarding zilizo chini au kusimamiwa na KKKT na Mawasiliano yao kama yapo itakuwa vyema........
Shule ambazo zipo Dar wa Salaam, Morogoro, Pwani na Moshi
Ahsanteni
Karibu upate Mini Hair Dryer kwa kukaushia nywele zako na Pasi Ndogo kwa Kunyooshea nywele zako....
Bei ya Dryer moja ni Tsh 20,000 na Bei ya Pasi moja ni Tsh. 160,000
Kwa wateja wa DSM ni Free Delivery kwa wa mikoani utatumiwa kwa Basi....
Tupo Mbezi ya Kimara na Kimara Baruti_DSM...
Wasiliana nami kama unahitaji Mali hizi kwa namba muda wowote....
or
WhatsApp 0652576717
1.Kitanda Full chuma + Godoro full nyama (inch 8)
Vyote Size ni 5×6
Tsh 390,000 vyote kwa pamoja, vinauzwa vyote kwa pamoja
2.Meza ya kioo ya kuweka kwa sebule yenye upana wake na quality ya...
Habari wana Jf,
Kwa yeyote mwenye kuuza, kama kuna mtu unamfahamu anauza au kuna sehemu kwa hapa DSM wanauza Photo Machine zile kubwa kuanzia namba 2025 na kuendelea zile kubwa za Stationary kwa bei isiyozidi Tshs. 800,000 naomba kujulishwa. Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.