Recent content by drchehjr

  1. drchehjr

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Kwa tunaofahamu richmond ilikuwa nini Slaa hakuwa sahihi kwa hili na ndio maana hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa na Dpp kwa hicho mnachokiita wizi wa richmond ambao b4 hamkusubutu kufungua vinywa vyenu kuuzungumzia.,istoshe mkwere in campaign 2010 alipokuwa Monduli alishasema jamaa ni mtu...
  2. drchehjr

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Yaani ingekuwa kwa nchi zilizoendelea kilichotokea Jangwani leo kilikuwa kinatosha kukiweka nje ya system chama cha kijani... Ila kwa sababu tupo Afrika inabidi nguvu itumike kisaikolojia na physically coz tuna watu wengi bado hawana uwezo wa kupambanua mambo..... Lakini hatamu tutaishika maana...
  3. drchehjr

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Ni dalili mbaya tuwe makini., Hawatoishia kutukana tu!
  4. drchehjr

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Atulie muda wa uchungu umewadia lazima ajifungue vinginevyo afe na mtoto tumboni....... Hii kitu inaonekana Fetou Bensoudah wenzie watatuamua muda c mrefu!!! Coz kuna dalili za watu kung'ang'ania Magogoni., Lakini ccc(UKAWA) this time ni habari nyingine.,
  5. drchehjr

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Jamani kinachodhihilika toka jangwani ni kwamba kumbe tunaongozwa na genge la wahuni., Now ni wakati wa kusema no kwao., Vilaza wakubwa wamezoea kuishi kwa mazoea yaani style ni ile ile toka 95,nilidhani hata kipindi wanakuja kivingine kumbe ni yaleyale ya kutuletea wasanii majukwaani...
  6. drchehjr

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Sure! What you have said is clearly true., Huyu mzee anamalizia maisha hatuwezi kumhamishia kwetu still tuchek na kuwakabili wehu wanaotaka kujumuika kutuibia kama akina Humphley,Drank Ridh na Dc Kinoklyn etc..... Hawa ndo wabaya wenyewe! "Aruta continua"
  7. drchehjr

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Wakati unaizuia akiri yangu kusikiliza majungu., Huu ni wakati maono yananihitaji kusikia sera za mwanasiasa si upuuzi wa kitoto!!! Nimezima tv na redio ninajisomea novel..... Nasubiri Oct25 nikatoe hukumu tu ili hawa manyang'au warudishe mali zangu nilizopendelewa na Mungu ktk uumbaji.
  8. drchehjr

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Broh naongezea hapo! Ticha tambua dunia nzima mshahara wa physician pale hospital na nyie haulingani........ Sema ni kweli mko down sana....... Cha msingi ni kubadiri green kuwa red that's all.,tupo pamoja!
  9. drchehjr

    Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

    Hali si hali huko chama cha kijani maana kila kukicha wanakuja propaganda mpya! Kama ENL alikuwa peke yake wamemuundia kamati ya watu 32 sasa kaongezeka FTS kamati itakuaje? Ama kweli hii movie inayoendelea adui green label sijui suruba yake Oct25.,
  10. drchehjr

    CHADEMA wamhujumu Lowassa rasmi, wavunja UKAWA kusini, CUF kumwaga mboga

    Hivi ndo vijimambo vinavyofanya siku zote wapenda mabadiliko tushindwe., Hii hali inabidi irekebishwe unless otherwise itatugharimu vibaya sana!
  11. drchehjr

    Wakati huu wa Kampeni, UKAWA waanzishe kitengo maalum cha kurekodi matukio

    Sure broh., This time team mabadiliko tunatakiwa kufanya kampeini kimkakati na kwa umakini mkubwa ili kueleweka ipasavyo na kuwawezesha waTz kufanya maamuzi sahihi.,
  12. drchehjr

    Kwa Watanzania mnaoendelea kughiribiwa na Lowassa

    Ndugu siasa ni drama! Tambo anazopiga ENL ndio hizohizo walizonazo green party........so,nature will sort out the powerful!
  13. drchehjr

    Lowassa: Nitamtoa Babu Seya gerezani

    Wewe mjinga Lowasa anaujua ukweli kuhusu hiyo issue acha kurukia usichojua..... Not each and everything is as it seems......,
  14. drchehjr

    Yericko Nyerere acha kuchochea mapinduzi ya kumwaga DAMU

    Amani na njaa ni maadui wakubwa....., This is according to the laws of nature! Lolote litakalotokea baada ya October 25 ndilo litakalotupa picha ya mustakabali wa taifa hili..... Dont argue coz hakuna aliyekutuma umuwasilishie maoni yake. Let's see.
  15. drchehjr

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    Ccm na majizi yake lazima waondoke...... Wamefanya vyeo na serikali ni kitu cha kurithi kisha kutudanganya kama wajinga.,
Back
Top Bottom