Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa miaka 26 nimekuja kwenu wana JF ili niweze kupata elimu na kunifungua akili juu ya wazo nililo nalo na wapi pa kuanzia
Nimejipanga kuanza shughuli za ufugaji wa mbuzi wa nyama ni kitu ambacho sijawahi kufanya hapo kabla hivo nahitaji msaada wa mawazo...
huo ndo uhalisia kwasbabu mwingne atakwambia sijui huwalipi vizuri cjui blah blah kibao lakin kawaida huwez kulipa zaid ya kile unacho earn ndan ya mwez katika ofis yako
kwanza kabisa jua kua huwezi kumridhisha kila mtu hata ufanye mema 100 baya 1 tuy linafukia yale yote yalio mema... hivo basi wew kma boss unatakiwa usimame katika muongozo wa kazi zako pale ambapomfanyakaz amefanya vema wala usione shida kumpq hta tip au bonus vyvyte vile ilimradi ku appreciate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.