Mdogo wangu umeolewa? Niko kwny ndoa 2yrs..hv unafikir ndani ya ndoa ni km girlfriend n boyfriend mnatiana kila mkionana? Mnaeza muwe hamjagombana but mkalala hata 3wiks bila kugusana..na inawezekana wala hakusaliti na wala ww husaliti ila ni ubize tu na majukumu..sasa usifikir hata ukiolewa na...
Ha ha haaaa zamda niache nilale..ukute umeshindia dagaa za kuchemsha siku 2 mangi anadai hela yake..mume karudi hana mia..na ww utaweza kum bembeleza eti ipo siku utapata?
Zamda my dear mtu asikudanganye upendo haulipi ada wala hauweki chakula mezani..na mwanaume akiwa na stres ya hela hata dushe haisimami na huo usingz hapati..
Huo ulikuwa ujinga wa mama yangu..he married my dad akiwa hana mbele wala nyuma mama akauza hadi vitumbua bdy mazao wakaja kutajirika saana then baba yangu akamuacha sayn hawaendan tena while they fought 2gthr..so mi sianzi frm zero na mwanaume ng'oooo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.