Yaani huduma za mobile money zilikuwa zimekaa poa sana hadi pale serekali imeamua kuharibu kila kitu kama kawaida. Tamaa, Mimi nadhani wabunge hawa wakatwe kodi maana wanaenjoy wakaati sisi maskini tunapigika. Inshort tunafanya kazi kwa nguvu kulish familia na viongozi wa serekali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.